Yani huyu kiazi wa arsenane ndio achambue team yetuInterlacustrine Region,
Bado Man U ni mbovu tu na ni swala la muda tu, hivi utaweza kuifananisha na Man U ya akina Olesendeka iliyomgaga Buyern 2-1 miaka ya 1999? itaifikia hata theluthi tu kwa ubora?
You serious? Haujengi timu kwa kulinganisha na zama za nyuma sana, bali timu hujengwa kulingana na malengo yenu ya sasa, uwezo wa kifedha mlionao pamoja na aina ya ushindani mlionao kwa sasa mf. hauwezi kutumia mabomu ya nyuklia wakati unapambana na adui anayetumia mishale hapa unakuwa unapoteza rasilimali fedha, zamani tulitumia zana nzito nzito kwa ssb wapinzani wetu pia walitumia zana nzito, so it was a prudent decision by then.
Pia kuna variables nyingi sana zinazofanya timu kubwa kama Manchester United kusua sua japokuwa we have all the weapons at our arsenal, hatuna tatizo la kifedha wala nini. Bali tatizo letu kubwa ni football executive wetu alilalamikiwa sana na almost makocha wote waliondoka haleti wachezaji kwa wakati kwa mf. Mourinho alimuhitaji Harry Maguire lakini Ed alimleta miezi 6 baadae baada ya yeye kuondoka. Hata Bruno alihitajika kabla ya msimu kuanza ila akamleta kati kati msimu baada ya maandamano ya mashabiki.



pambana kuingia Europa Kwanza 

Dah, huyu jamaa sijui itakuwaje tu. Maana naona kama kasababisha kelele zirudi mtaani.
Kulikuwa kumetulia na amani ilikuwepo.
Nasubiri Pogba aanze kumshauri mambo ya kulilia mishahara na kuhamia Madrid au Juventus.




Back up ya Pogba na Bruno ni tatu tu.Aje kama Backup.
Nakubaliana na wewe.
Japo tunaweza kuangalia wachezaji wengine kwenye nchi nyingine kama tulivyompata Bruno.
Waingereza hakuna kitu.
Utajiumiza bure kushindana na mudaSasa ww unaumia Leicester kupata goli ulitaka wasipate yaani nyumbu ni Nyumbu tu takataka nyie mnao tegemea matokeo ya timu nyingine




Wishful thinkingnanukuu kauli ya mchambuzi wa soka, jina limehifadhiwa.
"kwa sasa clabu ya manchester united sio timu kubwa bali ni timu kongwe".
hebu tujumuike kwenye huu uzi wadau.
Mkuu Grealish yuko vzr tusimchukulie poa kwasabu anacheza na Sammata mtanzania, mana cc WaTz ndvyo tulivyo huwa tunachukulia poa sana, huyo Grealish ni fundi ila hapati muda wa kurelax kutokana na tm yenyewe, akija utd hatokuwa anaanza lkn kuna mda atapata namba tu na ndipo utamuona vzr, man u kwa ss inaenda kubadili culture yake kutoka soka la mpira mbele kuja soka la kumiliki, hvyo tunahitaji watu wanaokaa na mpira km Grealish, kuhusu uyo Maddison ni kwmb huyo ni mchezaji wa tm ndogo ukimtoa hapo umlete utd hawezi ng'aa pale amini nakuambia Maddison ni overrated player but Grealish yuko vzr sn.Back up ya Pogba na Bruno ni tatu tu.
1 James Madisson
2 Donny von de Beek
3 Dominick Szoboszlai
Kwanza ni vijana wachanga na ni versatile players huyu Grealish sometimes anajikaba mwenyewe tu.
Japokuwa msimu huu katengeneza chances za kufunga 80 lakini his tactical quality ina walakini kidogo.
Hao niliowataja ni perfect upgrade ya kina Lingard, Pereira na Juan Mata ambaye umri umeenda sana.
Japo possible signing anaweza kuwa huyo Grealish kwa sababu ya kuwa cheap kuliko Madisson na media hype zinavyompandisha.
Nimecheka sn mkuuSasa hivi mmekuwa wa moto mpaka nakosa cha kuja kukoment kwenye jukwaa lenu.
Ila najua ni upepo tu wa kumalizia ligi, msimu ujao utakapoanza Pogba atamroga Fernandes na hali itarudi kama mwanzo.


ila kongole kwa kukubali ukweli, huo ndiyo ushabiki wa kweli 

Nimecheka sn mkuuila kongole kwa kukubali ukweli, huo ndiyo ushabiki wa kweli
![]()