Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Aje kama Backup.Kumuweka au kutomweka benchi mtu pale Man Utd itategemeana na mchezaji gani atakayekuwa kwenye kiwango cha juu
Lakini jambo la uhakika, Grealish akipewa nafasi atachangia kuliko Lingard na Pereira, Grealish akisajilowa atawapa Pogba na Fernandez ushindani mkubwa wa namba kuliko Lingard na Pereira.
Pia Grealish atakuwa option kubwa kwenye rotation ya wachezaji au injury ikitokea kuliko ilivyo kwa Lingardinho na Pereira.
Nakubaliana na wewe.
Japo tunaweza kuangalia wachezaji wengine kwenye nchi nyingine kama tulivyompata Bruno.
Waingereza hakuna kitu.

3
tukamuuliza zaha vp kijana wetu ? Akasema "Mimi nimefanya kazi mlionituma"nimemtungua kepa Alizabuliwaga shida kipa wetu ndio karuhusu wao kufunga "
akasema sawa wakuu mi nitafanya kazi yangu hawatogusa nyavu na kazi iliyobaki nitamuachia "kipara"UCHEBE" atamaliza

Southampton
Old Trafford
20:00 BST