Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyie nyumbu mtajuta kuingia nusu fainali mnacho kitafuta mtakipata. Siku hiyo mtanieleza vizuri zile ninne mlinifunga vp nyau nyie nitawanyonya kamasi nyie subirini tu kuku nyie.
Pambana kwanza uingie nusu fainali ndio utambe.
 
  1. uchezaji wetu unatabirika sana tukiwa ndani au nje ya box, whether tuwe na creative players kwenye kikosi (pogba na bruno) au tukiwa na vikaragosi (lingard, perreira, dalot)....
  2. sijajua kama hili tatizo linatatuliwa kwa njia ya kufanya mazoezi au kuongeza wachezaji wengineo wenye ubora (inafika nyakati unakuwa unafahamu anachokwenda kukifanya luke shaw, wan bissaka, martial na rashford wakiwa kwenye eneo hilo)........mason greenwood ndiye mchezaji pekee ambaye huwezi kumtabiri pindi anapokuwa eneo la adui
  3. bruno fernandez hatumdai chochote, kwanza dau lake la usajili linalingana na wan bissaka na mshahara wake ni wa kawaida. Sielewi ni sababu ipi inayomfanya acheze kwa pressure kubwa sana......jamaa anapaswa atulie kifikra kama pogba (apunguze papara na wahaka akiwa uwanjani)
  4. scott na fred wajitathmini (hii ni mechi ya pili wanacheza ovyo)..........kwa huu mpira anaocheza matic watahitaji huruma ya mwalimu ili wapate nafasi ya kucheza
  5. tuwape norwich pesa ya kushukia daraja baadae tumchukue cantwell then tuwaongeze lingard, dalot, perreira na jones
  6. mechi 14 unbeaten
 
Mkuu umemuonea Fred, hivi umehesabu mipira aliyopora kwa wapinzani
  1. uchezaji wetu unatabirika sana tukiwa ndani au nje ya box, whether tuwe na creative players kwenye kikosi (pogba na bruno) au tukiwa na vikaragosi (lingard, perreira, dalot)....
  2. sijajua kama hili tatizo linatatuliwa kwa njia ya kufanya mazoezi au kuongeza wachezaji wengineo wenye ubora (inafika nyakati unakuwa unafahamu anachokwenda kukifanya luke shaw, wan bissaka, martial na rashford wakiwa kwenye eneo hilo)........mason greenwood ndiye mchezaji pekee ambaye huwezi kumtabiri pindi anapokuwa eneo la adui
  3. bruno fernandez hatumdai chochote, kwanza dau lake la usajili linalingana na wan bissaka na mshahara wake ni wa kawaida. Sielewi ni sababu ipi inayomfanya acheze kwa pressure kubwa sana......jamaa anapaswa atulie kifikra kama pogba (apunguze papara na wahaka akiwa uwanjani)
  4. scott na fred wajitathmini (hii ni mechi ya pili wanacheza ovyo)..........kwa huu mpira anaocheza matic watahitaji huruma ya mwalimu ili wapate nafasi ya kucheza
  5. tuwape norwich pesa ya kushukia daraja baadae tumchukue cantwell then tuwaongeze lingard, dalot, perreira na jones
  6. mechi 14 unbeaten
 
✓Bruno Fernandes inabidi arelax muda mwingine,..anafanya mambo kwa papara sana yanayopelekea kuwa na sloppy result

✓Nadhani mtakuwa mmeelewa ni kwa nini nilisema Matic ana kitu ambacho Fred na Scot wamenyimwa

✓Lingard,Dalot,Mata,Jones,Perreira...Hawa inabidi waondoke tuchukue replacement za bei rahisi zenye uhai kushinda wao..Cantwell,Grealish type of things
 
✓Bruno Fernandes inabidi arelax muda mwingine,..anafanya mambo kwa papara sana yanayopelekea kuwa na sloppy result

✓Nadhani mtakuwa mmeelewa ni kwa nini nilisema Matic ana kitu ambacho Fred na Scot wamenyimwa

✓Lingard,Dalot,Mata,Jones,Perreira...Hawa inabidi waondoke tuchukue replacement za bei rahisi zenye uhai kushinda wao..Cantwell,Grealish type of things
Matic asingepewa changamoto na hao kina fred na scott asingerudi kwenye kiwango,wakati mwingine baadhi ya wachezaji wanahitaji external motivation ili kurudi form.
 
Matic na Fred wanacheza tofauti sana mkuu

Matic ni more holding mid, anamzunguka zunguka mbele ya namba 4 na 5 na mara chache hufika mbele ya upande wa namba 3 na namba 2

Matic ni more stationary. Ni disciplined mid. Ni aina ya viungo ambao ni bora kwenye ku intercept kuliko kupokonya mpira kwenye man to man batle. Kazi kubwa ya jamaa ni ku control tempo ya game na kulinda ukuta wake usifikiwe kirahisi na timu pinzani.

Ni mid (kwenye 3 ya kati) anayecheza vizuri akiwa na viungo 2 wa juu wanaoweza ku possess mpira zaidi

Fred hata na Scot ni aina ya viungo wazururaji. Ni viungo wenye uwezo wa kukaba lakini ni box to box mids, sekundi ya 16 anaokoa kwenye penati box yake, sekunde ya 26 unamkuta kwenye timu pinzani akijaribu kufunga au akitoa assist.

Fred na Scoty ni aina ya viungo ambao ukiwapa kazi ya kumbughuzi star wa timu pinzani, hufanikiwa sana. Hawa huwa ni less disciplined kwenye positioning. Unaweza kupata magoli mengi kutoka kwa mids wa aina hii kuliko mid ya aina ya Nemanja.

Viungo sampuli ya akina Fred sio wasomaji wazuri sana wa mchezo lakini flexibility yao na agility yao inakupa dimension tofauti kwenye game katika kukaba na kushambulia. Akina Fred na Scoty wanakupa pass nyingi za mbele kuliko square na back passes.

Naona kila kiungo na kazi yake pale United, kutegemea na aina ya matokeo tunayotaka, mpinzani tunayekutana naye na individual quality ya timu pinzani.

✓Bruno Fernandes inabidi arelax muda mwingine,..anafanya mambo kwa papara sana yanayopelekea kuwa na sloppy result

✓Nadhani mtakuwa mmeelewa ni kwa nini nilisema Matic ana kitu ambacho Fred na Scot wamenyimwa

✓Lingard,Dalot,Mata,Jones,Perreira...Hawa inabidi waondoke tuchukue replacement za bei rahisi zenye uhai kushinda wao..Cantwell,Grealish type of things
 
Screenshot_20200628-205337.png
 
Back
Top Bottom