Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hawa Chelsix tumewashughulikia mpaka imekuwa kero sasa

Niliwataka Arsenal maana siku hizi eti wanajitutumua kwamba wanatumudu
Hapana hawa hawa Chelsea wanatosha tuwafungie msimu bila kombe wala kufika finali.
 
Hawa Chelsix tumewashughulikia mpaka imekuwa kero sasa

Niliwataka Arsenal maana siku hizi eti wanajitutumua kwamba wanatumudu
Next season Arsenal watakuwa wanapambana kuepuka relegation hivyo kujitutumua mbele ya timu kubwa hawawezi kuacha.
 
Battle for the top four
"I think there are many teams for that battle for third fourth, Leicester, Chelsea, us, Wolves doing really well, Tottenham, Arsenal and Sheffield United wanna put a run together and put a challenge in there, exciting for fans, been waiting for football that matters, we want fans in the stadiums but at least now we can sit back and watch some exciting games."

More on Angel Gomes future
"To be honest, I've not heard from them last night or this morning, it seems like they haven't managed to agree so the answer is probably short and yes, then."
 
vyovyote itakavyokuwa kwenye midfield except double pivot
  1. scot +pogba +bruno
  2. fred +pogba +bruno
  3. matic+pogba+bruno
Kwa vyovyote vile midfield ya Pogba na Bruno imetupa stability tu ya kuwa na mpira ila bado haijatupa magoli.

Kwanini ?

Pogba anacheza deep sana anapoadvance Bruno analazimika kwenda pembeni hivyo anapunguza threats kwenye final third ya mpinzani.

Yawezekana na wenzangu mmeliona hili Bruno akiwa wide anakuwa hana madhara sana kama anapokuwa analitazama Lango.

Shida nyingine wanapocheza pamoja Bruno na Pogba wanatumia muda mwingi sana kuexpress uwezo wao badala ya kuwa objective uwanjani niliona kwenye mechi na Totenham na mechi yetu na Norwich city.

I would prefer Matic Fred na Bruno, au Matic Scot na Pogba.
 
Kwa vyovyote vile midfield ya Pogba na Bruno imetupa stability tu ya kuwa na mpira ila bado haijatupa magoli.

Kwanini ?

Pogba anacheza deep sana anapoadvance Bruno analazimika kwenda pembeni hivyo anapunguza threats kwenye final third ya mpinzani.

Yawezekana na wenzangu mmeliona hili Bruno akiwa wide anakuwa hana madhara sana kama anapokuwa analitazama Lango.

Shida nyingine wanapocheza pamoja Bruno na Pogba wanatumia muda mwingi sana kuexpress uwezo wao badala ya kuwa objective uwanjani niliona kwenye mechi na Totenham na mechi yetu na Norwich city.

I would prefer Matic Fred na Bruno, au Matic Scot na Pogba.
Tuwaangalie tena kwenye mechi hii ya leo mkuu kama wataanza wote..
 
Back
Top Bottom