Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

★HereWeGo
Screenshot_2020-06-30-12-28-22~2.jpeg
 
Manchester United boss Ole Gunnar Solskjaer has confirmed that highly-rated youngster Angel Gomes is set to leave the club when his contract expires on Tuesday.

Solskjær: "Angel Gomes leaving #mufc? To be honest, I’ve not heard from them last night or this morning, so it seems like that they haven’t managed to agree [a deal], so the answer is probably short and yes then."
 
Bayern pia ana take advantage ya mkataba wa Sane kuisha msimu ujao, anataka amlalie City

Halafu nimesikia Yorke anamshauri OGS hana haja ya kuangalia mbali, aangalie jirani tu pale kupata winger kwa jina la Sane
Sane's best position ni kushoto lakini au kulia pia yupo vizuri??

Sema huyu dogo anaitaka Bayern,atakuja kuondoka bure sasa 2021 kama City anakaza
 
Sijawahi kumuona akicheza/akichezeshwa upande wa kulia, lakini kama anaweza ku cut in kutokea kushoto pia anaweza kutokea kulia

Kwa kuwa ni kijana wa kijerumani, obviously Bayern wana advantage

Kuna wachezaji usipomfukuzia hadi mwisho, halafu usubiri uje umuokote bure anaona kama hukumpa heshima yake, anaona kama hamumuhitaji vile ipasavyo hivyo inapotokea timu nyingine ipo tayari kutoa hela, unakuta mchezaji anabadili maamuzi

LAKINI

Kama City hawana upinzani ule wa kutouziana wachezaji na United/wakiwa rational rather than emotional, United wakija na hiyo £50M ya Sancho ni bora kuliko kumwachia bure miezi 12 baadae
Sane's best position ni kushoto lakini au kulia pia yupo vizuri??

Sema huyu dogo anaitaka Bayern,atakuja kuondoka bure sasa 2021 kama City anakaza
 
Break it down boss

Wachezaji gani tunaweza kuwachukua tukiachana na Sancho?
1 Jack Grealish anaweza kucheza kulia, kushoto na kama CAM

Anafiti kucheza 4 3 3, 4 2 3 1, 4 4 2 na 3 4 2 1

2 Raul Jimenez kuimarisha safu ya ushambuliaji kumpa pressure Martial

Anaweza kucheza vizuri akitokea kulia, anacheza vizuri central striker.
anafit vizuri kwenye mfumo mzuri wa 3 4 3, 4 4 2, 4 2 3 1 na huyu ni proven striker kwenye epl.

3 Diogo Dalot anaweza kuwa converted kucheza right wing akaweza kufanya tunachokitaka.

Kimsingi alternative za 100 pounds sokoni za Sancho ni nyingi sana timu yetu inahitaji maeneo mengine ya kuimarisha tofauti na right wing tu.
 
1 Jack Grealish anaweza kucheza kulia, kushoto na kama CAM

Anafiti kucheza 4 3 3, 4 2 3 1, 4 4 2 na 3 4 2 1

2 Raul Jimenez kuimarisha safu ya ushambuliaji kumpa pressure Martial

Anaweza kucheza vizuri akitokea kulia, anacheza vizuri central striker.
anafit vizuri kwenye mfumo mzuri wa 3 4 3, 4 4 2, 4 2 3 1 na huyu ni proven striker kwenye epl.

3 Diogo Dalot anaweza kuwa converted kucheza right wing akaweza kufanya tunachokitaka.

Kimsingi alternative za 100 pounds sokoni za Sancho ni nyingi sana timu yetu inahitaji maeneo mengine ya kuimarisha tofauti na right wing tu.

United wanahitaji RW hii nafasi since CR7 ameondoka hatujapata mchezaji sahihi hao uliowataja wote hakuna ambaye ni pure RW ,Bissaka anacheza vizuri nyuma lakini tunapoteza nafasi nyingi kwenye upande wa kulia.Tradition mpira wa United unategemea winger kulia na kushoto (Best,Giggs,Beckham,Ronaldo)

Grealish mechi nyingi anacheza namba 10 mara chache sana anacheza kama winga na ni mchezaji wa Kingereza usitegemee atakuwa cheap

Jiminez ni namba 9 baada ya Ighalo kuongezewa mkataba OGS hawezi kusajili striker mwingine na kuna Greenwood ambaye ni back mzuri kwa Martial

Dalot ni RB anaweza kucheza RW lakini bado sana na inaonekana OGS hamkubali ndio maana akibadilisha formation still huwa anamchezesha Bissaka kama Right Wingback
 
Back
Top Bottom