Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yaani kwa kuwa hamna mechi nyingine na Man Utd, basi waliobaki wote mnaona kama mtawafunga

Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha izo game zilizobaki zote sioni wa kutuzuia mkuu. Man city hana cha kupoteza kwa sasa anaiwaza uefa tu, Liver atakuwa ashatangaza ubingwa ivyo hatakaza sana. Izo takataka nyingine zilizobaki hakuna atakayetoka salama.

wewe Man U nakusubiri FA uwezo wa kukupiga ninao, Lampard hafungwi mara mbili na underdog kama nyie..

CFC
 
hahaha izo game zilizobaki zote sioni wa kutuzuia mkuu. Man city hana cha kupoteza kwa sasa anaiwaza uefa tu, Liver atakuwa ashatangaza ubingwa ivyo hatakaza sana. Izo takataka nyingine zilizobaki hakuna atakayetoka salama.

wewe Man U nakusubiri FA uwezo wa kukupiga ninao, Lampard hafungwi mara mbili na underdog kama nyie..

CFC

Labda useme Lampard huafungwi mara 4
 
hahaha izo game zilizobaki zote sioni wa kutuzuia mkuu. Man city hana cha kupoteza kwa sasa anaiwaza uefa tu, Liver atakuwa ashatangaza ubingwa ivyo hatakaza sana. Izo takataka nyingine zilizobaki hakuna atakayetoka salama.

wewe Man U nakusubiri FA uwezo wa kukupiga ninao, Lampard hafungwi mara mbili na underdog kama nyie..

CFC
Hiv kumbe 3 na 2 kubwa 2 enhee maana kumbukumbu tumewapga nje ndan nje bado kuwpga gesti tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Napenda kutoa wazo tukakupime akili samahani lakini. Me naona hata akili yako inatu DNA twa COVID 19,UBISHI,UJUAJI UROPOKAJI na KIGEUGEU kulingana na hizo hoja zako mpaka sasa najitahidi kuamini ni wewe ninaekujua lakini nashindwa.
Haya ndo maswala nasemaga unachangia kitu kama "HUNA KICHWA JUU YA MABEGA".
Pobga akirud ataharibu timu uzeni yule..

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa uyo Buruno ana nini cha Ku ofa kumzidi Pobga ..hiv kuna kiungo kna kama Paulo kweny dunia ya sasa iv?? Buruno ni kiungo wa kawaida Sema kaenda kweny timu ambayo ina viungo wabovu ivyo lazima ang'ae tu..

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati wa utawala David Gill kama CEO wa United
:
2005 - nafasi ya 3
2006 - nafasi ya 2
2007 - Bingwa
2008 - Bingwa
2009 - Bingwa
2010 - nafasi ya 2
2011 - Bingwa
2012 - nafasi ya pili
2013 - Bingwa

Wakati wa utawala wa Ed Woodward CEO
:
2014 - nafasi ya 7
2015 - nafasi ya 4
2016 - nafasi 5
2017 - nafasi ya 6
2018 - nafasi ya 2
2019 - nafasi 6

Chanzo; Shaffih Dauda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
United have reportedly added Real Madrid's Uruguayan midfielder Federico Valverde, 21, to their wish list as they prepare for life without Paul Pogba. (Express)
Tetesi zingine zinatamanisha
 
Mh siyo rahisi kumpata huyu dogo, after all kwanini Dylan Levit asipewe nafasi tu badala ya huyu Nigel Dejong wa Madrid ?
United have reportedly added Real Madrid's Uruguayan midfielder Federico Valverde, 21, to their wish list as they prepare for life without Paul Pogba. (Express)
Tetesi zingine zinatamanisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna dogo anaitwa BELLINGHAM kaonekana viunga vya Carrington
Huyo dogo ni Wa Birmingham city, kuna timu kadhaa kubwa zinamuhitaji,mfano kuna Man U, Chelsea na Dortmund zote zinamtaka na inasemekana Dortmund wao washapeleka na dau. So kilichopo ni kwamba timu hizo zinapigana vikumbo ktk kumshawishi na kwa upande Wa Man U moja ya ushawishi wao ni kumpeleka training ground akajionee training facilities na mazingira kwa ujumla. Nadhani baba yake alikuwepo pia Carlington
 
Hata Haaland alifika Carrington lakini yaliyotokea sote tunajua.

Jude Bellingham ni midfielder mzuri sana lakini watoto wa kingereza mara nyingi huanza vizuri na kumaliza vibaya mifano ipo mingi sana.

Tusubiri tuone japo Man United wana nafasi kubwa sana ya kumsajili Jude Bellingham changamoto ni dau kubwa sana lisiloendana kabisa na umri wake.

Pound million 30 kwa 16 years old ni matumizi mabaya ya pesa wakati hela hiyo unaweza kusajili mchezaji anayeweza kuingia kwenye kikosi cha kwanza moja kwa moja.

By the way Midfield ya Man united inawachezaji wengi sana vijana kwa hiyo tuna 8 to 10 years kama wakiendelea kuimprove kuanza kuhitaji replacement tena.
Huyo dogo ni Wa Birmingham city, kuna timu kadhaa kubwa zinamuhitaji,mfano kuna Man U, Chelsea na Dortmund zote zinamtaka na inasemekana Dortmund wao washapeleka na dau. So kilichopo ni kwamba timu hizo zinapigana vikumbo ktk kumshawishi na kwa upande Wa Man U moja ya ushawishi wao ni kumpeleka training ground akajionee training facilities na mazingira kwa ujumla. Nadhani baba yake alikuwepo pia Carlington

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom