Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Eti nyie Man united ..munapendekeza ligi ifutwe au iyendelee??

Bila kupepesa macho, Ligi ikifutwa Liverpool apewe kombe au asipewe?

Bila kujikuna je muko tayari kucheza Europa tena?

Japo uhakika wa Uefa hamuna kabisa.

#CFC


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli wewe hamnazo ..Chelsea unaichukulia kama team ndogo??

Acha ushamba mkuu ..iyo man u unaona kubwa imebaki jina tu takataka ii

#CFC


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa unaingilia maisha binafsi ya mtu ..unataka apost kuhusu man u ili iweje ..yani apost nini? akaunt yake inahusiana nin na man u ..au kuna hisa man u wameweka pale.. yeye ni mwajiriwa wa man u na maisha ake binafsi wee vipi..!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama City adhabu yake itaendelea mnaweza kuwa namba 2, ila kama rufaa itashinda watakuwa wao namba 2 na nyie 3.

Namba moja anajulikana, siyo swala la discussion.
Hahaha unajua kabisa hichi kitu hakitatokea ..man u kuwa nMba mbili ..

Hichi kitu alifanya Mou tu ..wengine wote watakaopita wataishia nafasi ya tano/sita..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…