Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

He won't even score

Sent using Jamii Forums mobile app
Somaaaaaaaa
Screenshot_20200306-003729_All%20Goals.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Norwich tutamtafuna vizuri tu

Rooney dakika za mwisho amechakarika sana..alitaka atufunge au??

Sasa macho kwenye derby yetu jumapili
 
Timu imejitahidi japokuwa kuna moments tunajisahau mipira inapotea. Ila naona kweli timu yetu saivi na kila siku inazidi kua imara na confidence imekua nzuri saivi tukifika kwenye boksi ni goli linawindwa kwa gharama yeyote ile mfano goli la shaw limeonesha jinsi gani wachezaji walivyo na njaa na ujasiri wa kupiga mashuti golini tofauti na mechi za nyuma. Naona with this team tunafika Europa Fainali na top Four sio ishu tena.

#GGMU
Tatizo wanapoteza sana mipira na siyo aggressive

Sent using Jamii Forums mobile app
 
9 undefeated

6 wins

3 draws

21 goals scored

2 goals scored against us (conseded)

7 clean sheets

Hii ni run nzuri so far this season

Ole inabidi pia afanyie kazi jinsi ya ku-keep possession,tunapoteza sana mipira

GGMU
 
Kuna raia katika kutaka ku prove Mourinho was wrong wanalazimika kumsifia OGS hata pale anapoboronga

Kuna wale katika kutaka ku prove Mourinho was wrong walitamani hata Man upigwe kipindi kile ni meneja

Kuna watu katika kutaka ku prove Ole is wrong wanatamani Man Utd awe anapigwa

Kuna watu katika kutaka ku prove mchezaji flani ni mzuri wanatamani mchezaji mwingine mbadala kwenye namba hiyo hiyo acheze vibaya (wakati wote ni kwa ajili ya United)

Watu wanapaswa kusimama na timu na si mchezaji au kocha, kwenye kuboronga tuna criticize kwenye kufanya vizuri tunasifia, simple like that
Mtihani mkubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom