Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hiki ni kipindi kigumu sana ukikutana na timu iko nafasi ya 15 and below kwenye msimamo wa ligi.

Wachezaji huwa wanapambana sana kunusurika wasishuke daraja ndicho kilichomtokea Leceister city jana, chelsea leo na Liverpool.

Jambo la kushkuru sisi fixture yetu haina hizi timu ukiondoa Bornemouth na Aston Villa.

Huko Watford anatoa mtu damu,

Liverpool leo hoi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Every team has to bow down on the only one THE INVINCIBLES. Liverpool oh tutamaliza bila kufungwa. Nyoooo... Nawaombea wabebe kombe miaka mingi imepita bila kulibeba.
 
Hivi forward dunia nzima hamkuona paka mnasajili ighalo aje kula pension, hii timu bhana,.
 
Hawa Watford si ndio tumewafunga wiki iliyopita

Na kuna watu walisema, "hata hivyo mmewafunga Watford tu"
Hiki ni kipindi kigumu sana ukikutana na timu iko nafasi ya 15 and below kwenye msimamo wa ligi.

Wachezaji huwa wanapambana sana kunusurika wasishuke daraja ndicho kilichomtokea Leceister city jana, chelsea leo na Liverpool.

Jambo la kushkuru sisi fixture yetu haina hizi timu ukiondoa Bornemouth na Aston Villa.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo hao hao.
Hata game ya kwanza na Liverpool basi bahati siku hiyo ilikuwa upande wa Liverpool
Game hiyo Alexander Docoure alikosa nafasi tatu za wazi yeye na nyavu na Sarr ilikuwa hivyo hivyo leo wamekuja kivingine sana.
Hawa Watford si ndio tumewafunga wiki iliyopita

Na kuna watu walisema, "hata hivyo mmewafunga Watford tu"

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manchester United squad vs Everton: de Gea, Romero, Bishop, Wan-Bissaka, Dalot, Bailly, Lindelof, Maguire, Shaw, Williams, McTominay, Fred, Matic, Pereira, Mata, Lingard, James, Fernandes, Chong, Greenwood, Ighalo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo hao hao.
Hata game ya kwanza na Liverpool basi bahati siku hiyo ilikuwa upande wa Liverpool
Game hiyo Alexander Docoure alikosa nafasi tatu za wazi yeye na nyavu na Sarr ilikuwa hivyo hivyo leo wamekuja kivingine sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ile game Watford walifanya uzembe mwingi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom