Mkuu leo tunapata shida sana, nimeiangalia Everton mechi zake tatu za mwisho pamoja na hii ya mwisho lasy week na Arsenal Everton ni moto mkali.
Kuna wataalam wa Premier League waliweka prediction ya first XI ya Man U leo, ikiwa-include Shaw na Williams kushoto na Ighalo badala ya mvivu Martial. Naona Ole Kawapuuzia. NADHANI TUNAHITAJI FORWARD ALIYETAYARI KUVUNJIKA PUA KULIKO KUMUACHA BEKI APIGE FREE HEADER. tunafeli sana hapo mbele.
Matic, Fred, Tominay........ Fernandes

Martial in, isije kuwa kama Rashford alivyolazimisha halafu akapata injury ya muda mrefu View attachment 1373737

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu leo tunapata shida sana, nimeiangalia Everton mechi zake tatu za mwisho pamoja na hii ya mwisho lasy week na Arsenal Everton ni moto mkali.
Kuna wataalam wa Premier League waliweka prediction ya first XI ya Man U leo, ikiwa-include Shaw na Williams kushoto na Ighalo badala ya mvivu Martial. Naona Ole Kawapuuzia. NADHANI TUNAHITAJI FORWARD ALIYETAYARI KUVUNJIKA PUA KULIKO KUMUACHA BEKI APIGE FREE HEADER. tunafeli sana hapo mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mzee baba Tunafanya mpango tukutunuku Tuzo ya chuki, kipengele cha Martial.

Mimi nakuwa Runner Up.
 
Mkuu leo tunapata shida sana, nimeiangalia Everton mechi zake tatu za mwisho pamoja na hii ya mwisho lasy week na Arsenal Everton ni moto mkali.
Kuna wataalam wa Premier League waliweka prediction ya first XI ya Man U leo, ikiwa-include Shaw na Williams kushoto na Ighalo badala ya mvivu Martial. Naona Ole Kawapuuzia. NADHANI TUNAHITAJI FORWARD ALIYETAYARI KUVUNJIKA PUA KULIKO KUMUACHA BEKI APIGE FREE HEADER. tunafeli sana hapo mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama sijakosea mfumo wa leo ni 442 diamond, hauhitaji striker wa kuvunja pua, itabidi tu full back zetu ziwe 110%
 
Tutamaliza nafasi ya 3 msimu huu. Majeruhi yametuharibia sana, maana wachezaji wetu muhimu wamekuwa nje kwa muda mrefu sana.
 
Back
Top Bottom