Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

5th
Screenshot_20200223-174353_All%20Goals.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina furaha sanaaa, haya mavitu yalikua wakati wa sir alex

Toka aje bruno timu yetu imebadilika sana, kila mchezaji anajitoa %

Bruno + Maguire hii ni raha ya kusajiri wachezaji wanaojielewa, corona virus pogba he must learn

Leo OT wameimba jina la bruno, kawa kipenzi cha fans, tuwaongeze pesa sportnglisbon tu

Mason greenwod kila nikimuangalia hainiumi kutomsajiri halland

Kule nyuma kwa kina maguire sina cha kuzungumza

Lile goli la martial ngoja nikalinywee serengeti lite za moto

Scot karejea

Lingard/pereira nina imani walikua wanatazama game kwenye tv, wanachakujifunza kwa fundi master pass bruno

Rashfod na corona virus pogba tunawasubiri mpone, msijiharakishe hakikishen mnapona %


Sent using Jamii Forums mobile app
 
What a way to put pressure on Chelsea on top four race

Bruno [emoji91][emoji91]

Ighalo goli halipo mbali

Greenwood best finisher at United

Fred & Matic katikati ya uwanja [emoji1544][emoji1544]

Ushindi wenye cleansheet unanoga sana

Point 9 kutoka nafasi ya 3, point 3 kutoka nafasi ya 4

Consistence is all we need

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom