Fred hakuonekana na wapiga picha, ikadhaniwa hataanza, ila naona ameanzishwa
Angeanza Matic na Tominay na Fernandez, Fred atokee benchi ikibidi, kuwaanzisha hao madogo kwenye game muhimu kama hii ni too risk Mkuu, kumbuka aggregate iliyopo haimpi kocha kiburi cha kuchezesha hao madogo
Ole anayapa haya mashindano uzito mkubwa kwa kuwa ni moja kati njia za kucheza UCL mwakani (naamini haya ni kati ya malengo aliyowekewa na Ed) na kupata walau silverware msimu huu
Kiukweli Fred ametumika sana na tuombe asiumie kwani ni mchezaji muhimu sana kwetu kwa wakati huu
Sent using
Jamii Forums mobile app