Tactically Ole siyo mbovu kama wengi tunavyotaka kuonyesha hapa mechi kubwa ndiyo hudetermine tactical brilliance ya Manager katika mechi kubwa zote this season kafungwa 2 tu zingine zote kashinda na kutoka Sare moja.
Shida kubwa ambayo imetukabili over the whole season ni Maturity ya squad yetu pamoja na kukosa creative players.
Squad depth imetuathiri sana kitu kilichotuondolea options pale tunapohitaji kufanya tactical changes.
Guardiola na Klop pamoja na profiles zao it took them a couple of seasons kutengeneza timu za ushindani leo tunataka Ole aanze kudeliver success katika kipindi kifupi wakati timu alikuta inaelekea kuoza yote ?
Bado naendelea kumpa benefit of doubt Ole mpaka pale atakapotengeneza squad yake kwa signings anayofanya ndiyo nitajua kuwa hawez.
Sent using
Jamii Forums mobile app