Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unaponiita mimi average unataka nipigwe ban la bure.

Wewe huna striker unaweza kumzungumzia kuja man utd umemuona Jimenez pekee? Kwanini sio Messi, Lewandosky, kwa nini unaleta gissip na kututusi bila sababu.

Nimechoka kuwekwa rumande, niachieni timu yangu. Tajiri Huyu grazer ananitia hasira sana, anawapa chances za kutuzungumzia mpendavyo,

Huyu grazers alipoichukua United tukamkatalia kuumiliki uwanja kama wake, uwanja sio timu, kama alinunua timu sio OT, hiki bifu linaendelea, kuna madeni club inadaiwa, Grazers wanadaiwa.

Wangese hawa wangetuletea world class watatu wanne hapa OT tungeuza, na tunge shaini, kocha asi geonekana kimeo.

Wanabana pesa, wananunua Sanchez kwa pesa na mshahara wote ule, wanasainiana na makocha kama Morinho as if kocha hatakuja kukosea, ona mahela aliyoondoka nayo Jose's. Ni upuuzi sana. Kuwekeana contact zabaina ile.

Sasa hiv tunahaha kutafuta wachezaji, kurudisha falsafa ya maishaya OT. Yasiwe yawe yatarudi tu.
 
Unaponiita mimi average unataka nipigwe ban la bure.

Wewe huna striker unaweza kumzungumzia kuja man utd umemuona Jimenez pekee? Kwanini sio Messi, Lewandosky, kwa nini unaleta gissip na kututusi bila sababu.

Nimechoka kuwekwa rumande, niachieni timu yangu. Tajiri Huyu grazer ananitia hasira sana, anawapa chances za kutuzungumzia mpendavyo,

Huyu grazers alipoichukua United tukamkatalia kuumiliki uwanja kama wake, uwanja sio timu, kama alinunua timu sio OT, hiki bifu linaendelea, kuna madeni club inadaiwa, Grazers wanadaiwa.

Wangese hawa wangetuletea world class watatu wanne hapa OT tungeuza, na tunge shaini, kocha asi geonekana kimeo.

Wanabana pesa, wananunua Sanchez kwa pesa na mshahara wote ule, wanasainiana na makocha kama Morinho as if kocha hatakuja kukosea, ona mahela aliyoondoka nayo Jose's. Ni upuuzi sana. Kuwekeana contact zabaina ile.

Sasa hiv tunahaha kutafuta wachezaji, kurudisha falsafa ya maishaya OT. Yasiwe yawe yatarudi tu.
Watu bila aibu wanakupa stories za Grealish, Jimenez, sijui Sancho, Madison.

Yani average players tupu..

United is not a midtable standard team. This is a top rich club, our standards should be zaidi ya hapa tulipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamuuza Lukaku kwasababu Martial anafut kwenye formation.
Screenshot_20200211-073639_Twitter.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jumatatu tupo darajani na kama tukipoteza hii mechi basi tusahau kuhusu Top Four na sijui ni kwa namna gani Ole ataendelea kuwa kocha next season..I really don't know

Lazima tuone progress atleast hapo tunaweza kuwa na imani na kocha..sasa tumekuwa na msimu mbaya zaidi tokea tulipo kuwa hivi mwaka 1989,rebuild ya Ole ni ya kupewa tena muda Next Season?..Wachezaji wamekumbwa na majeraha mara kadhaa msimu huu,je inaweza kuwa sababu kubwa?? ni jukumu la nani kuhakikisha timu ina depth in it's squad??..Point 35 kwenye mechi 25 ni utani mkubwa



Ed Woodward naye ameendelea na ahadi zake za motomoto kuwa anaona Next Summer Transefer Window kama ni dirisha la kufanya Major Rebuild..jamaa anaendeleza porojo zake kama kawaida.

Hii ni Timu kubwa duniani na inabidi iwe na;
✓Top level delivering coashing staff

✓Top level delivering players

✓Top level delivering management

Imefika kipindi hata sisi mashabiki tumeshindwa kujua standard zetu..Yaani mtu kama Martial "Maji kupwa,Maji kujaa" tunamuona ni mtu ambaye anaweza kutufanyia maajabu makubwa siku sio nyingi..Not to mention the likes of Perreira,Lingard and others

Anyway,Let's enjoy the game
 
Lukaku alitaka kuondoka na alim'face OGS uso kwa uso, unafaham madhara ya kumng'ang'ania mchezaj anayetaka kusepa? Umeona kirusi anavyofanya vitimbi?
Kuondoka kwa Lukaku OGS hana kosa, tumlaumu kwa kutoleta replacement ontime

Sent using Jamii Forums mobile app

Hizi story umegoogle wapi? Mbona Degea hakuruhusiwa kuondoka licha ya kuwasilisha transfer request kwa uongozi wa Timu?

Ni Ole mwenyewe ndiye aliyemtengezea Lukaku mazingira ya kuondoka coz hakuwa katika future plan yake.
 
Huyu jamaa kabla ya kuja United, hajacheza mechi zaidi ya miezi 2, hajaruhusiwa kufanya mazoezi huko Spain na wenzake tangu asajiliwe lakini kwenye kikosi kitakachokutana na Chelsea yumo...... Halafu kwa mchezaji mwingine asipochezeshwa zinakuja story za "hana match fitness"
skysports___B8a_GinAlqh___.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani mara ngapi Man united imesajili wachezaji top class wakaja kuwa flops ?

Hebu tuambie wewe striker gani ambaye hapo epl angeweza kuvaa viatu vya Lukaku ?

Mimi nilimtaja Jimenez, Timo Werner na Halland tuambie wewe nani ulitaka aje ?

Hili suala la kusema kina nani wamekuwa low thinkers ni uthibitisho kuwa wewe ndiyo low thinkers you cannot see the other side of the coin.
Watu bila aibu wanakupa stories za Grealish, Jimenez, sijui Sancho, Madison.

Yani average players tupu..

United is not a midtable standard team. This is a top rich club, our standards should be zaidi ya hapa tulipo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu bila aibu wanakupa stories za Grealish, Jimenez, sijui Sancho, Madison.

Yani average players tupu..

United is not a midtable standard team. This is a top rich club, our standards should be zaidi ya hapa tulipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Grealish, Jimenez, sijui Sancho, Madison extremely average players. Beckham where are you
 
Back
Top Bottom