NtYga
JF-Expert Member
- Aug 23, 2018
- 4,945
- 12,695
Lini Pogba alikuwa WC na lini ameacha kuwa WC??
Jamani niaminini, tatizo nidhamu ya wachezaji kina Pogba, kwisha??Hii timu yangu siilewi kabisa siku hizi..kama tunataka kufanya rebuilding basi pochettino atatufaa
Kucheza UCL kwa sasa ni kupoteza muda.
Bora michuano ipunguzwe.
Europa / UCL tuondoe kwenye ratiba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sikubaliani kabisa na hii signing ni heri wangemnunua hata Mandzukic kuliko huyu aliyetokea kwenye Corona Virus.
Wangemchezeshaje sasa kama hawawezi kumuunganisha kwenye squad?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ole akiwa kwenye pressure ya kushinda haimpi tabu anashinda kirahisi tu.
Hili lipo pia kwa Martial anacheza mechi tatu bila goli siku mkitaka kumweka bench anatupia unasema ngoja tujaribu tena hii inconsistency ya namna hii ndiyo inayomtesa sana Ole.
It is true ingizo la wachezaji wapya litaleta impact fulani kwenye squad yetu kama watafit kikosini mapema.
Tukichanga karata vizuri top four tunaingia vizuri tu maana chelsea bado ana mechi kubwa nyingi kuliko sisi kikubwa inatakiwa tushinde game yetu dhidi ya Chelsea gape lipungue.
Sent using Jamii Forums mobile app
No. The same average coach.Hii timu yangu siilewi kabisa siku hizi..kama tunataka kufanya rebuilding basi pochettino atatufaa
Msimu huu nimekuchapa two times..moja OT umekula nne,na nyingine umechezea tena darajani pale na nikakufurusha nje ya michuano ya EFL
Top 4 hatugombanii United na Chelsea pekee kuna Wolves,Sheffield,Spurs,Everton nao wamefufuka baada ya Ancelotti kuja
Hii timu yangu siilewi kabisa siku hizi..kama tunataka kufanya rebuilding basi pochettino atatufaa
Mnatumia vigezo gani kuwapata world class players!?Sidhani kama uko serious world class players hawafiki hata 20 kwenye EPL
Chelsea:Kante
United:currently hakuna
Spurs:Kane
Arsenal:Auba
City:Aguero,De Bruyne,Bernardo,Fernandinho,Sterling
Liverpool:Alisson,Trent,Van Djik,Mane,Salah,Robertson,Firmino
Ole ni mbovu kimbinu. Kushinda mechi kubwa haimaanishi yeye ni bora kimikakati,wakati mwingine ni kukamia tu game kunatupa ushindi. Kwa hiyo kitendo cha kushinda hizo game ulizosema hapo inamaanisha ogs ana mbinu zaidi ya hao makocha alowadindishia!? Mbona wao wanashinda mechi nyingi kuliko yeyeTactically Ole siyo mbovu kama wengi tunavyotaka kuonyesha hapa mechi kubwa ndiyo hudetermine tactical brilliance ya Manager katika mechi kubwa zote this season kafungwa 2 tu zingine zote kashinda na kutoka Sare moja.
Shida kubwa ambayo imetukabili over the whole season ni Maturity ya squad yetu pamoja na kukosa creative players.
Squad depth imetuathiri sana kitu kilichotuondolea options pale tunapohitaji kufanya tactical changes.
Guardiola na Klop pamoja na profiles zao it took them a couple of seasons kutengeneza timu za ushindani leo tunataka Ole aanze kudeliver success katika kipindi kifupi wakati timu alikuta inaelekea kuoza yote ?
Bado naendelea kumpa benefit of doubt Ole mpaka pale atakapotengeneza squad yake kwa signings anayofanya ndiyo nitajua kuwa hawez.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ole ni mbovu kimbinu. Kushinda mechi kubwa haimaanishi yeye ni bora kimikakati,wakati mwingine ni kukamia tu game kunatupa ushindi. Kwa hiyo kitendo cha kushinda hizo game ulizosema hapo inamaanisha ogs ana mbinu zaidi ya hao makocha alowadindishia!?Tactically Ole siyo mbovu kama wengi tunavyotaka kuonyesha hapa mechi kubwa ndiyo hudetermine tactical brilliance ya Manager katika mechi kubwa zote this season kafungwa 2 tu zingine zote kashinda na kutoka Sare moja.
Shida kubwa ambayo imetukabili over the whole season ni Maturity ya squad yetu pamoja na kukosa creative players.
Squad depth imetuathiri sana kitu kilichotuondolea options pale tunapohitaji kufanya tactical changes.
Guardiola na Klop pamoja na profiles zao it took them a couple of seasons kutengeneza timu za ushindani leo tunataka Ole aanze kudeliver success katika kipindi kifupi wakati timu alikuta inaelekea kuoza yote ?
Bado naendelea kumpa benefit of doubt Ole mpaka pale atakapotengeneza squad yake kwa signings anayofanya ndiyo nitajua kuwa hawez.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ole ni mbovu kimbinu. Kushinda mechi kubwa haimaanishi yeye ni bora kimikakati,wakati mwingine ni kukamia tu game kunatupa ushindi. Kwa hiyo kitendo cha kushinda hizo game ulizosema hapo inamaanisha ogs ana mbinu zaidi ya hao makocha alowadindishia!?Tactically Ole siyo mbovu kama wengi tunavyotaka kuonyesha hapa mechi kubwa ndiyo hudetermine tactical brilliance ya Manager katika mechi kubwa zote this season kafungwa 2 tu zingine zote kashinda na kutoka Sare moja.
Shida kubwa ambayo imetukabili over the whole season ni Maturity ya squad yetu pamoja na kukosa creative players.
Squad depth imetuathiri sana kitu kilichotuondolea options pale tunapohitaji kufanya tactical changes.
Guardiola na Klop pamoja na profiles zao it took them a couple of seasons kutengeneza timu za ushindani leo tunataka Ole aanze kudeliver success katika kipindi kifupi wakati timu alikuta inaelekea kuoza yote ?
Bado naendelea kumpa benefit of doubt Ole mpaka pale atakapotengeneza squad yake kwa signings anayofanya ndiyo nitajua kuwa hawez.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ole ni mbovu kimbinu. Kushinda mechi kubwa haimaanishi yeye ni bora kimikakati,wakati mwingine ni kukamia tu game kunatupa ushindi. Kwa hiyo kitendo cha kushinda hizo game ulizosema hapo inamaanisha ogs ana mbinu zaidi ya hao makocha alowadindishia!?
Hakuna kitu kama kukamia kwenye mpira..na kama kipo kina influence ndogo sana kwenye matokeo ya mpira..Quality players na mbinu ndo kila kitu..ukiwa na mbinu na huna Quality players ni kazi bureOle ni mbovu kimbinu. Kushinda mechi kubwa haimaanishi yeye ni bora kimikakati,wakati mwingine ni kukamia tu game kunatupa ushindi. Kwa hiyo kitendo cha kushinda hizo game ulizosema hapo inamaanisha ogs ana mbinu zaidi ya hao makocha alowadindishia!? Mbona wao wanashinda mechi nyingi kuliko yeye