Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Aje nani mbadala wa Ole

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu kocha wa Sheffield anaitwa Chris yuko vizuri..guardiola mwenyew kasema anajifunza kwa huyo jamaa

Pochettino if possible

Allegri...deal la huyu lingefanikiwa!

Kocha wa saiv wa Rb l ya ujerumn nahic ni Julian N...man

Kuna Erik

Ole anafaaa kule Molde tuuu au aende ligi za Iran kule!
 
Hapo ukimuondoa
Massimiliano Allegri na Eric Ten Hag hao wengine wanamzidi nini Ole Gunar Solkjaer ?

Pochettino katika career yake yote more than 10 years ni Trophiless

Julian Nangelsman nae bado ni mchanga sana kupewa timu yenye pressure kubwa sana kama Man united.

Chris Wilder ?? Yes anaweza akawa na instincts of a good manager lakini sidhani kama anaweza kuvaa hivyo viatu vya United.

Kwenye hiyo list anayeweza kufundisha United ni Allegry tu hao wengine ni Gambling kama ya Ole Gunar Solkjaer tu.
Huyu kocha wa Sheffield anaitwa Chris yuko vizuri..guardiola mwenyew kasema anajifunza kwa huyo jamaa

Pochettino if possible

Allegri...deal la huyu lingefanikiwa!

Kocha wa saiv wa Rb l ya ujerumn nahic ni Julian N...man

Kuna Erik

Ole anafaaa kule Molde tuuu au aende ligi za Iran kule!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pochettino karusha jiwe gizani

Hii ni message kwa OGS, yapaswa amalize ndani ya top4 kama anakipenda kibarua chake
Screenshot_20200212-152746.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pep Guardiola kama nani akisema kitu ama kutamka mtu flani ni mzuri najifunza kutoka kwake ndio watu wote wamfuate yeye.
kwa hiyo Guardiola kumtaja Kocha Wa Sheffield United kama Mtu mwenye Farsafa safi ya mpira na anajifunza vitu kutoka kwake we umeona anafaa sana kuja kuitumikia Manchester United as a Manager???

NB:
Pep Guardiola ni binadamu na sio Mungu kwamba kila atakachokisema afuatwe ama yupo sahihi aslimia 100% maana humu nishaona Makocha ambao wakiongea kitu flani kwenye Mass Media basi watu wanatetereka wee (JURGEN KROOP na PEP GUARDIOLA) hapo unatakiwa utumie na akili yako kufikiri Pia Je, achokisema Guardiola kipo sawa Ama wewe una vision gani kuhusiana na swal hilo sio mnatuletea Maoni yaki maandaz! hapa
Kwanza nakerekaga sana kuona mnaongelea Maswala ya Kroop na Pep maana naona mnasujudu sana wanavyoviongea haya kazi kwenu.
Huyu kocha wa Sheffield anaitwa Chris yuko vizuri..guardiola mwenyew kasema anajifunza kwa huyo jamaa

Pochettino if possible

Allegri...deal la huyu lingefanikiwa!

Kocha wa saiv wa Rb l ya ujerumn nahic ni Julian N...man

Kuna Erik

Ole anafaaa kule Molde tuuu au aende ligi za Iran kule!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Man united watamwondoa Ole Gunar Solkjaer na kumpa kazi Pochetino watakuwa wamefanya kosa kubwa sana ambalo litatupa seasons nyingine za kusubiri makombe.

Pamoja na mapungufu yake naamini Ole Gunar Solkjaer ataturudisha kwenye Glory days in a few seasons to come.
Pochettino karusha jiwe gizani

Hii ni message kwa OGS, yapaswa amalize ndani ya top4 kama anakipenda kibarua chakeView attachment 1355335

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na mapungufu ya Ole sidhani kama Poch ni mbadala sahihi, na Ole akifukuzwa tutaanza project mpya tena this is insanity.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na kwamba Ole si mtu sahihi pale united,Poch pia hafai kuwa mbadala wake kama tunakusudia kuishuhudia manchester bora ndani ya kipindi kifupi.
Spurs alikuwa na wachezaji world class lakini hakuwa na ushindi wa muendelezo.
Sivutiwi naye pia
 
Kama Man united watamwondoa Ole Gunar Solkjaer na kumpa kazi Pochetino watakuwa wamefanya kosa kubwa sana ambalo litatupa seasons nyingine za kusubiri makombe.

Pamoja na mapungufu yake naamini Ole Gunar Solkjaer ataturudisha kwenye Glory days in a few seasons to come.


Sent using Jamii Forums mobile app
Timu inayogombania angalau kumaliza top 6 unaweka matumaini kuchukua ubingwa wa EPL kwenye situation ambayo Liverpool huenda akatuzidi point 40+ na wanaendelea kuimarisha timu yao?

United mpaka leo hawajagundua matatizo yao,siku wakigundua na kupanga mikakati sahihi itawachukua miaka at 4-5 ndio wachukue ubingwa.Hakuna short cut kwenye mafanikio ya mpira
 
Lakini mapungufu ya united sidhani kama yanasababishwa na Ole peke yake na kumwondoa Ole hakutabadilisha kitu kwa sasa badala ya kuturidisha nyuma hatua mia tena.

Kama ni coaching man united imeajiri makocha world class wawili na wote walishindwa kuturudisha kwenye glory days sidhani kama tatizo la united la sasa ni coaching tu.

Kuwa na Ole is worth waiting kuliko kuanza upya tena from unsuccessful managers kama Poch na kina Nangelsman
Timu inayogombania angalau kumaliza top 6 unaweka matumaini kuchukua ubingwa wa EPL kwenye situation ambayo Liverpool huenda akatuzidi point 40+ na wanaendelea kuimarisha timu yao?

United mpaka leo hawajagundua matatizo yao,siku wakigundua na kupanga mikakati sahihi itawachukua miaka at 4-5 ndio wachukue ubingwa.Hakuna short cut kwenye mafanikio ya mpira

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuleta kocha mwingine kwa sasa kurudi nyuma tena hatua mia.
Pamoja na kwamba Ole si mtu sahihi pale united,Poch pia hafai kuwa mbadala wake kama tunakusudia kuishuhudia manchester bora ndani ya kipindi kifupi.
Spurs alikuwa na wachezaji world class lakini hakuwa na ushindi wa muendelezo.
Sivutiwi naye pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini mapungufu ya united sidhani kama yanasababishwa na Ole peke yake na kumwondoa Ole hakutabadilisha kitu kwa sasa badala ya kuturidisha nyuma hatua mia tena.

Kama ni coaching man united imeajiri makocha world class wawili na wote walishindwa kuturudisha kwenye glory days sidhani kama tatizo la united la sasa ni coaching tu.

Kuwa na Ole is worth waiting kuliko kuanza upya tena from unsuccessful managers kama Poch na kina Nangelsman

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeshasema sana United ina matatizo mengi sana na yanaanzia kwa wamiliki wa timu na decision maker but
OGS is part of United problem,tactical is average manager for United and he has been at United for almost one season and half
Kama huoni matatizo ya OGS kama kocha basi unachokiongea uko sawa tusubiri msimu ukiisha tutafanya comparison.
Kubadilisha makocha sio tatizo kuna una proper structure ya kuendesha club unasajiri right players & right manager utafanya vibaya msimu mmoja next season utarudi kwenye peak.Bayern ,PSG,Leicester,Madrid wamebadilisha makocha sawa na United lakini haiwasumbui sababu wana watu ambao wanafanya right long term decision.


Unarudi nyuma kama ulikuwa na right manager ukamfukuza then ukamleta wrong manager
 
Lakini mapungufu ya united sidhani kama yanasababishwa na Ole peke yake na kumwondoa Ole hakutabadilisha kitu kwa sasa badala ya kuturidisha nyuma hatua mia tena.

Kama ni coaching man united imeajiri makocha world class wawili na wote walishindwa kuturudisha kwenye glory days sidhani kama tatizo la united la sasa ni coaching tu.

Kuwa na Ole is worth waiting kuliko kuanza upya tena from unsuccessful managers kama Poch na kina Nangelsman

Sent using Jamii Forums mobile app
Ole is clueless.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tumejaza watumishi hewa mpaka kwenye kitengo cha afya:

Romelu Lukaku had a malfunctioning digestive system last season, which was unknown to him and Manchester United, and thus he was having issues with his weight and fitness. Inter Milan quickly rectified this helping him lose half a stone (3kg/7lbs) in 12 days.
 
Back
Top Bottom