Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lack of unity in united dressing room!
20200209_124132_rmedited.jpg
 
Lack of unity in united dressing room!View attachment 1351921
Kwa ufahamu wangu nadhani hii meseji ni mahsusi kwa rashford na martial.
Martial anataka kulazimisha kufunga ili kuziba midomo ya tunaompigia kelele kuwa ni mvivu,anaigharimu timu.
Kwa upande wa Rashford anataka kuonekana ndio moyo wa timu kwenye upachikaji magoli.
 
MCHAMBUZI wa soka nchini England, Paul Merson anaamini straika mpya wa Manchester United, Odion Ighalo atamfukuzisha kazi kocha wake Ole Gunnar Solskjaer kama ataonesha kiwango kibovu ndani ya timu hiyo.
Manchester United waliinasa saini ya Ighalo kwa mkopo kutoka klabu ya Shanghai Shenghua ya China, pia, Merson alisema lilikuwa kosa kubwa kwa timu hiyo kushindwa kumsajili straika Erling Haaland ambaye alisaini Borussia Dortmund kutoka Salzburg.
“Kama Ighalo ataonesha kiwango kibovu, basi itakuwa safari kwa Solskjaer, Man United wanataka aingie kikosini na kuonesha uwezo kipindi hiki ambacho Rashford yupo nje kwa majeraha.
“Walifanya kosa kubwa kushindwa kumsajili Haaland, angalia anavyofanya Borussia Dortmund, kile ndicho wanakikosa Man United kwa sasa, angekuwa msaada mkubwa sababu bado mdogo,” alisema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani usajili anafanya Ole ?

Wakimfukuza sometime nikumuonea tu, sidhani kama man United wanaplan ya ubingwa this season.

Lakini pia amekumbana na injuries kwa wachezaji muhimu karibia half of the season.

Sidhani kama Board wanataka kuanzisha project mpya tena kwa sasa.

Ole yupo sana labda apoteze mechi nyingi consecutively zilizobaki.
MCHAMBUZI wa soka nchini England, Paul Merson anaamini straika mpya wa Manchester United, Odion Ighalo atamfukuzisha kazi kocha wake Ole Gunnar Solskjaer kama ataonesha kiwango kibovu ndani ya timu hiyo.
Manchester United waliinasa saini ya Ighalo kwa mkopo kutoka klabu ya Shanghai Shenghua ya China, pia, Merson alisema lilikuwa kosa kubwa kwa timu hiyo kushindwa kumsajili straika Erling Haaland ambaye alisaini Borussia Dortmund kutoka Salzburg.
“Kama Ighalo ataonesha kiwango kibovu, basi itakuwa safari kwa Solskjaer, Man United wanataka aingie kikosini na kuonesha uwezo kipindi hiki ambacho Rashford yupo nje kwa majeraha.
“Walifanya kosa kubwa kushindwa kumsajili Haaland, angalia anavyofanya Borussia Dortmund, kile ndicho wanakikosa Man United kwa sasa, angekuwa msaada mkubwa sababu bado mdogo,” alisema.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu anapenda kufanya kazi na watu anaowaamini kuwa watadeliver vivyo hivyo kwa Ole kumwachia Lukaku isiwe dhambi simply Lukaku anafunga sana huko Inter Milan.

Mbona Klopp alimuuza Coutinho na bado Liverpool ikafika Finali UEFA champions League mara mbili na kuchukua mara moja ?

Mbona Ferguson alimuuza David Beckham na Rud Van Nistrooy na bado akatengeneza timu imara bila hao watu?

Hivi Duniani striker bora ni Lukaku tu ? Hamumuoni Timo Werner? Haaland je ? Raul Jimenez? Hao wote wanaweza kuwa replacement ya Lukaku bila shida yoyote na wakadeliver kuliko Lukaku.

By the way Martial asingepata injury ya miezi miwili hope hata hivi vikelele vya Lukaku!! Lukaku!! Visingekuwepo.

Ole alikuwa anaamini Lukaku hawezi kudeliver katika mfumo wake that's why alimwachia aondoke.

Yawezekana tunampigia kelele Ole kumbe kosa liko kwa watoa maamuzi huko kama walivyoshindwa kumsajili Halland chaguo la kwanza la Ole wakatuletea Ighalo aliyeko quarantine mpaka sasa.

Tumwache mwalimu afanye kazi yake sisi tuendelee kula mtori nyama tutazifikia tu.
Ole ni Gambler na alicheza card ngumu sana kumuachia Lukaku hasa kipindi ambacho dunia inatafuta kwa tochi no 9 players.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu anapenda kufanya kazi na watu anaowaamini kuwa watadeliver vivyo hivyo kwa Ole kumwachia Lukaku isiwe dhambi simply Lukaku anafunga sana huko Inter Milan.

Mbona Klopp alimuuza Coutinho na bado Liverpool ikafika Finali UEFA champions League mara mbili na kuchukua mara moja ?

Mbona Ferguson alimuuza David Beckham na Rud Van Nistrooy na bado akatengeneza timu imara bila hao watu?

Hivi Duniani striker bora ni Lukaku tu ? Hamumuoni Timo Werner? Haaland je ? Raul Jimenez? Hao wote wanaweza kuwa replacement ya Lukaku bila shida yoyote na wakadeliver kuliko Lukaku.

By the way Martial asingepata injury ya miezi miwili hope hata hivi vikelele vya Lukaku!! Lukaku!! Visingekuwepo.

Ole alikuwa anaamini Lukaku hawezi kudeliver katika mfumo wake that's why alimwachia aondoke.

Yawezekana tunampigia kelele Ole kumbe kosa liko kwa watoa maamuzi huko kama walivyoshindwa kumsajili Halland chaguo la kwanza la Ole wakatuletea Ighalo aliyeko quarantine mpaka sasa.

Tumwache mwalimu afanye kazi yake sisi tuendelee kula mtori nyama tutazifikia tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumemwacha Mwalimu anafanya kazi yake pamoja na kujitutumua uwezo wake ni mdogo timu imemzidi anaendelea kuweka rekodi

OGS hawezi kupata mafanikio walioyapata SAF na Klopp kwenye ukocha na ana bahati licha ya matokeo mabovu bado jamaa wamemvumilia so far makosa aliyoyafanya ni mengi na makubwa ukiacha hilo la kumuuza Lukaku.
 
Kila mtu anapenda kufanya kazi na watu anaowaamini kuwa watadeliver vivyo hivyo kwa Ole kumwachia Lukaku isiwe dhambi simply Lukaku anafunga sana huko Inter Milan.

Mbona Klopp alimuuza Coutinho na bado Liverpool ikafika Finali UEFA champions League mara mbili na kuchukua mara moja ?

Mbona Ferguson alimuuza David Beckham na Rud Van Nistrooy na bado akatengeneza timu imara bila hao watu?

Hivi Duniani striker bora ni Lukaku tu ? Hamumuoni Timo Werner? Haaland je ? Raul Jimenez? Hao wote wanaweza kuwa replacement ya Lukaku bila shida yoyote na wakadeliver kuliko Lukaku.

By the way Martial asingepata injury ya miezi miwili hope hata hivi vikelele vya Lukaku!! Lukaku!! Visingekuwepo.

Ole alikuwa anaamini Lukaku hawezi kudeliver katika mfumo wake that's why alimwachia aondoke.

Yawezekana tunampigia kelele Ole kumbe kosa liko kwa watoa maamuzi huko kama walivyoshindwa kumsajili Halland chaguo la kwanza la Ole wakatuletea Ighalo aliyeko quarantine mpaka sasa.

Tumwache mwalimu afanye kazi yake sisi tuendelee kula mtori nyama tutazifikia tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Raul Jimenez with Wolves.
Match Played 73
Goals 24
Assists 13

Martial last 76 EPL Matches
Match played 76
Goals 26
Assists 10

Lukaku with Inter Millan Seria A.
Match played 23
Goals 17
Assists 2

Lukaku Epl with Man Utd.
Match played 96
Goals 42
Assists 13


Hapo unaona tofauti.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Raul Jimenez with Wolves.
Match Played 73
Goals 24
Assists 13

Martial last 76 EPL Matches
Match played 76
Goals 26
Assists 10

Lukaku with Inter Millan Seria A.
Match played 23
Goals 17
Assists 2

Lukaku Epl with Man Utd.
Match played 96
Goals 42
Assists 13


Hapo unaona tofauti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye hizo stats za Jimenez uweke pia kwamba Jimenez kafunga magoli sawa na Martial huyo Jimenez akiwa na timu ndogo ya Wolves wakati Martial yupo timu kubwa akicheza na viungo wa bei ghali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza Martial msimu wa Mourinho hakuwa regular starter na hilo unapaswa kuliangalia na hakuchezeshwa kama central striker.

This season wamekuwa central striker lakini injury zimemwandama.

Kingine mimi sikumlinganisha Martial na Lukaku nimekupa wachezaji watatu ambao wangeweza kuwa perfect replacement ya Lukaku.

Huyo Jimenez ni perfect striker kwa EPL ambaye anahitaji watu wa kumlisha vizuri tu na atafunga tu.
Raul Jimenez with Wolves.
Match Played 73
Goals 24
Assists 13

Martial last 76 EPL Matches
Match played 76
Goals 26
Assists 10

Lukaku with Inter Millan Seria A.
Match played 23
Goals 17
Assists 2

Lukaku Epl with Man Utd.
Match played 96
Goals 42
Assists 13


Hapo unaona tofauti.
Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijamlaumu kumuachia Lukaku ila nimesema alifanya maamuzi magumu sana kiasi kwamba hata layman asingefanya bila kufanya risk assessment!!
Kila mtu anapenda kufanya kazi na watu anaowaamini kuwa watadeliver vivyo hivyo kwa Ole kumwachia Lukaku isiwe dhambi simply Lukaku anafunga sana huko Inter Milan.

Mbona Klopp alimuuza Coutinho na bado Liverpool ikafika Finali UEFA champions League mara mbili na kuchukua mara moja ?

Mbona Ferguson alimuuza David Beckham na Rud Van Nistrooy na bado akatengeneza timu imara bila hao watu?

Hivi Duniani striker bora ni Lukaku tu ? Hamumuoni Timo Werner? Haaland je ? Raul Jimenez? Hao wote wanaweza kuwa replacement ya Lukaku bila shida yoyote na wakadeliver kuliko Lukaku.

By the way Martial asingepata injury ya miezi miwili hope hata hivi vikelele vya Lukaku!! Lukaku!! Visingekuwepo.

Ole alikuwa anaamini Lukaku hawezi kudeliver katika mfumo wake that's why alimwachia aondoke.

Yawezekana tunampigia kelele Ole kumbe kosa liko kwa watoa maamuzi huko kama walivyoshindwa kumsajili Halland chaguo la kwanza la Ole wakatuletea Ighalo aliyeko quarantine mpaka sasa.

Tumwache mwalimu afanye kazi yake sisi tuendelee kula mtori nyama tutazifikia tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza Martial msimu wa Mourinho hakuwa regular starter na hilo unapaswa kuliangalia na hakuchezeshwa kama central striker.

This season wamekuwa central striker lakini injury zimemwandama.

Kingine mimi sikumlinganisha Martial na Lukaku nimekupa wachezaji watatu ambao wangeweza kuwa perfect replacement ya Lukaku.

Huyo Jimenez ni perfect striker kwa EPL ambaye anahitaji watu wa kumlisha vizuri tu na atafunga tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unam-replace Lukaku na Jimenez?

Mashabiki wa United mmeshakuwa average thinkers hivi?

Standards za Lukaku ni kina Mbappe na kuendelea.

Sawa na kuleta wazo la kumreplace Pogba na McTominnay.

Wakati ni dunia mbili tofauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom