Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Haya ndiyo mambo yanayokera sana pale Man united.

Inawezekanaje wamuone Joshua King ila washindwe kumuona Raul Jimenez wa Wolves ?

ukimuondoa joshua king kuna mshambuliaji mwengine unayedhani anaweza kuja man utd?
unaposema alikuwa ni mchezaji aliyekuwa kwenye mipango ya muda mfupi unamaanisha nini brother?
man utd walituma offer ya paundi millioni 20 kwa bournermouth lakini ilikataliwa ndipo wakamgeukia ighalo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa amechukuliwa kwa mkopo ili aje kufanya nini??

Tusimuone Ole kuwa ni mjinga kiasi hicho..japo he is not good enough IMO,lakini tusimdharau hivo..huwezi kumchukua mtu kwa mkopo tena aliyekuwa analipwa mpunga mrefu tu,then usiwe na malengo naye
I know how Ole works.

Ole ni kama amelogewa waingereza.

Anawaamini na kuwapenda sana.

Nadhani anawatumia ili asipigwe vijembe na pundits wa kingereza kama kina Morinho.

Yupo radhi apandishe mchezaji toka Accademy kuliko kuleta proven player.

Kumuuza Lukaku kumbakisha Rashford ni utumbo wa karne.

I know how Ole works.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
For non-Man U's mnisamehe kidogo! I gotta shout a little bit.
Maaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaan U oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Karibuni OT, hameni kwenye hizo klabu changa.
_44645791_celebration_getty.jpg

😀
7394540.stm
😂😂😂
 
Naona Inter Milan wako kwenye process ys kujijenga upya tena kwa maarifa makubwa sana.

Sitashangaa misimu miwili ijayo wakicheza UEFA Semi final
cha kuvutia zaidi usajili wao umeangalia zaidi vipaombele vya mwalimu ila sielewi kwa nini antonio conte hapendi kusajili winga.

victor moses na ashley young wote wanafiti kwenye mfumo wa 3- 5 - 2
 
Nafikiri hana matumizi nao.
Yeye 3 4 3 au 3 5 2 yake fullbacks wake ndiyo wanafanya kazi ya wings
cha kuvutia zaidi usajili wao umeangalia zaidi vipaombele vya mwalimu ila sielewi kwa nini antonio conte hapendi kusajili winga.

victor moses na ashley young wote wanafiti kwenye mfumo wa 3- 5 - 2

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lukaku aliomba kuhama, hata hii interview ya juzi kasema mwenyewe na anamshukuru Ole kwa hilo na kumuelewa
I know how Ole works.

Ole ni kama amelogewa waingereza.

Anawaamini na kuwapenda sana.

Nadhani anawatumia ili asipigwe vijembe na pundits wa kingereza kama kina Morinho.

Yupo radhi apandishe mchezaji toka Accademy kuliko kuleta proven player.

Kumuuza Lukaku kumbakisha Rashford ni utumbo wa karne.

I know how Ole works.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
COLE - YORKE

GIGGS-KEAN-SCHOLES-BECKHAM

IRWIN - STAM - BROWN - NEVILLE


SCHMICHEL
4-4-2

Huu mziki ndiyo hautopata kutokea tena.
Hiyo Timu ya kina Tevez na Nani ni ya kawaida tu.
Hiki ni kikosi kabla ya 2003. Mi nilikuwa nazungumzia kikosi kuanzia 2005 hivi.
 
Back
Top Bottom