nimeikuta kwenye forum ya red cafe
sijaupitia huu uzi mpaka mwisho wala sijaingia ndani kufuatilia hii ishu hivyo basi kama itakuwa kuna uongo ndani yake au kuna mazuri zaidi ndani yake natumai wajuzi wa mambo wataweka wazi.
Ole Gunnar Solskjaer and Jim Solbakken
Apparently Ole Gunnar Solskjaers agent is
Jim Solbakken and
Atta Aneke is Jim Solbakkens business partner.
At Cardiff Ole
signed 7 players managed by Solbakken and at Molde
he signed 6 players managed by Solbakken and 4 managed by Atta Aneke.
Josh King was a Solbakken client four years ago and
Ighalo is an Atta Aneke client.
============================
kuna harufu yeyote ya kusaidiana kwa marafiki hawa kweye mission za usajili?
man utd haifanani kabisa na molde au cardiff FC linapokuja swala la kusajili wachezaji, lakini kama itatokezea huyu jamaa
Jim Solbakken anawahodhi wachezaji wenye wenye uwezo kama walivyo mawakala wengine hakutatokezea urafiki wa kibiashara kama ilivyokuwa cardiff na molde?
tukumbuke tumemkosa joshua king kwenye dirisha hili la usajili kwa ishu za maslahi tu hivyo basi huenda dirisha lijalo tukamrudia tena.
na pia upo uwezekano wa kumsajili ighalo kama kocha atavutiwa naye (na kuna njia nyingi za kocha kuvutiwa na mchezaji husika),
kwa mfano
kwa akili ya kawaida hivi inaingia akilini
radamel falcao yule aliyejaa majeruhi yaliopeleka kushindwa kufanya vizuri man utd iliwezekana vipi msimu uliofuata kusajiliwa na chelsea iliokuwa chini ya jose mourinho kwa mkopo, radamel falcao tukumbuke wakala wake ni
jorge mendez ambaye pia ni wakala wa jose mourinho.
Jim Solbakken has become Norway’s most influential football agent through his close friendship with Ole Gunnar Solskjær. And he prefers to sit at every side of the table.
josimarfootball.com
Ole Gunnar Solskjaer was accused of a conflict of interest after he signed three Norwegian players who were represented by his agent and close friend Jim Solbakken when he was the manager of Cardiff City in 2014.Within days of his appointment, Solskjaer signed the midfielder Magnus Wolff Eikrem fro
www.thetimes.co.uk