Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

We have an option of loosing 3 matches now and winning 9 to restore our tittle
 
Week end hii inaisha poa sana na kesho wiki inaanza vizuri zaidi kwetu, ila itakuwa mbaya sana kwa upande wa wale waliokua wanafuatilia kama Guests ( Wacha 1 and Co.)
 
Well done Rafael, He rocked the show


74923_186x236.jpg
5

0

[h=3]Rafael[/h]Dealt with Pienaar more effectively than most fullbacks this season. Picked out a fabulous through-ball to set Van Persie away for the second.

 
yaani siku hizi namuona RVP anacheza bila kutumia nguvu kabisa......kama ilivyokuwa anaibeba Asenali.........mpaka anaumia umia.......
 
Baada ya kufunga jana RVP ameshazifunga timu 15 za EPL zimebaki timu 4 QPR,Swansea,Norwich na Aston Villa aweke rekodi ya kuzifunga timu zote ndani ya msimu mmoja
 
naona man u mko doria zamu mwaka huu, hamuachi kit kila kinachopita mbele yenu...buumu..fuumu..tuu

Mkuu hawa wa jana ilikuwa ni kisasi cha kutukosesha ubingwa mwaka jana, yaani I wish tungewaarsenane kabisa..
Now tunamsubiri Mor en Yoo.,:becky::becky:
 
Unanikumbusha songi la nameless... "I envy ur lipstick venye inaku-caress hizo lips" Could I..could I..could I have this kiss forever.....

....kwakweli manzi umebarikiwa,ndiyo mana tunaimba haleluyaa'' ..ha ha!! Niliupenda hilo songi, umenifanya niusikilize leo tena.
Vp lakini presha za Arsenal umeshazizoea?
 
....kwakweli manzi umebarikiwa,ndiyo mana tunaimba haleluyaa'' ..ha ha!! Niliupenda hilo songi, umenifanya niusikilize leo tena.
Vp lakini presha za Arsenal umeshazizoea?

Ntake radhi bishosti...
Am Blue!

Heheh aisee ebu nifowadie songi ilo...
"...mwangalie ndani ya macho na umwambie..na umwambie"
 
Back
Top Bottom