Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hatushikiki mpk sasa half time tunaongoza mbili bila!
 
MANU sidhani kama kuna wa kuwasimamisha tena msimu huu. Sasa hivi ni kuwania tu nafasi ya pili, tatu na nne lakini EPL Champion for 2012/2013 season is already known.
 
MANU sidhani kama kuna wa kuwasimamisha tena msimu huu. Sasa hivi ni kuwania tu nafasi ya pili, tatu na nne lakini EPL Champion for 2012/2013 season is already known.

Bora umeliona hilo, wapinzani wengine wameliona hilo pia lakini ni ubishi tu😀😀
 
Msema kweli....Yule kocha wa MANC inabidi kibarua kiote majani hastahili kuendelea tena msimu ujao.


Bora umeliona hilo, wapinzani wengine wameliona hilo pia lakini ni ubishi tu😀😀
 
Uchezaji wa Phil Johns utatugharimu, anajisahau sana kama yeye ni kiungo mkabaji leo
 
Rooney anapoteza mipira kirahisi sana, Jelavic prepared very dangerous player
 
Afadhali Johns katoka ila angeingia anderson ili Carick apumzike kwa ajili ya mechi ya Jtano
 
jonescrop_2898828.jpg

fellcrop_2898907.jpg
 
Sub nyingine balaa kama Evans hajaumia hakukuwa na sababu ya kumtoa, sub ya beki huwa haina tija sana kwa timu
 
Back
Top Bottom