Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa kikosi cha leo inaonekana Van Persie atabaki peke yake Mbele na Rooney itabidi ashuke chini zaidi kutafuta Mipira kwa kuwa Carrick na Johns watakuwa na kazi ya kukaba zaidi
 
Kwa kikosi cha leo inaonekana Van Persie atabaki peke yake Mbele na Rooney itabidi ashuke chini zaidi kutafuta Mipira kwa kuwa Carrick na Johns watakuwa na kazi ya kukaba zaidi

Ushindi hapa naona unainyemelea manu!
 
Nasikia Manure matumbo joto chacha leo titaona kama zile bahasha zenu zinafanya kazi kwenye CL ... .... ..khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Ati kuna jamaa anachema tuwe pamoja ooo ps na nani hatuwezi kujihusisha na mashoga ... ... .... phew!
 
Nasikia Manure matumbo joto chacha leo titaona kama zile bahasha zenu zinafanya kazi kwenye CL ... .... ..khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Ati kuna jamaa anachema tuwe pamoja ooo ps na nani hatuwezi kujihusisha na mashoga ... ... .... phew!

Subirini kiama chenu
 
Two Judas met ... ... .. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee moja kapata kadi ... .... ... .... . njia ya mkato ipo kwa Rio .... .... ... .
 
Man Utd wana away goal.... na sasa wanweza hata kupaki Bus ili wategemee some few counterz........ UPUUUZI
 
Man Utd wana away goal.... na sasa wanweza hata kupaki Bus ili wategemee some few counterz........ UPUUUZI

Wameaanza kupaki bus wapi wewe? Goli lenyewe limefungwa sasa hv tu, we unataka wabaki mbele wakati wanashambuliwa?
 
hivi kuna mtu kumbukumbu ya pasi zinazopigwa na Man U!!!....kama umuesabu nitawashauri wabadilishe style.
 
Back
Top Bottom