Manchester United (Red Devils) | Special Thread

You are not serious.

Martial na Rashford what?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
So Fred out
Kama Ole atajaribu kumuweka Fred nje katika hali yoyote nitamuona kichaa zaidi.

Naona kwa sasa baada ya ujio wa Bruno nafasi ya kiungo itakuwa na changamoto sana watakapopona Scott na Pogba. Maana hata huyo Mata siku hizi naona anacheza sana na anachangamsha sana timu sasa sijui ndio anaidai namba 10 yake.
 
Kumbe unamwelewa pogba na umuhimu wake.... Wacha kumponda sasa
 
Hata mashabiki hamfahamu nan atakaa benchi...
Forward ingekuwa hivi at least mngekuwa mbali mbali kidogo
 
Pamoja na kupangwa nafasi ambayo hajawahi kucheza? Au hujaona Bruno amecheza kama DM leo mkuu baada ya Pereira kuwa takataka katika hilo eneo?
bruno sio no 10, sometime anacheza ila sio natural pale, anashine sana kwenye 3 man midfield, akiwa deep attributes zake ndio zinashine zaidi, fikiria kama Herrera mzuri zaidi.
 
Bruno tumepigwa bhana kwa kiasi alichonunuliwa mechi yake ya kwanza alipaswa awe na Ratings za juu sana
TUMEPIGWA
Ratings hizi?

Bruno Fernandes' Premier League debut for Man Utd against Wolves: 111 touches, 88 passes, attempted, 70 passes attempted in opp. half, 6 recoveries, 5 shots, 3 shots on target, 3 clearances, 2 tackles won, 2 fouls won

Weakness yake leo ni kwamba amechoka mapema, na hili linaeleweka ata improve kidogo kidogo, ila kwa mchezaji ambaye hata kutrain nawenzake vizuri bado amejitahidi sana.
 
Kaka Sisi wabongo kwa story za vibanda umiza tuko vizuri, mtu anakwambia tumepigwa imagine hizo ratings za mchezaji aliye train na wenzie siku 1 na straight kaanza na kacheza zote 90.. duh
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…