#mufc are said to be preparing a £20m offer for Fenerbahce striker Vedat Muriqi before Friday's transfer deadline. #muzone [Yeni Safak via men]
#TeTesiView attachment 1340846
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana nimefurahi kumuona OGS akimkalipia Lingard, sasa nafikiri kafaham dogo kilaza
Fred the red anakiwasha kila game, haijarishi iwe kubwa au ndogo, nimatumaini kurejea kwa Pogba + Scot na ujio wa fundi wa mpira Bruno pale kati kitachafuka kwel kwel
Pia nimefurahi jana OGS kasema anataiji striker ambaye yupo teyar avunjike pua ili ashinde goli (nafikir kamchoka brazamen Martial asiyetaka kuchafuka)
Sent using Jamii Forums mobile app
Martial hawezi kutupeleka popote..hata tu-battle na mabeki mipira ya juu hafanyi,anafanya tu kuangalia..shenzi sana huyu jamaa..tusajili mchezaji anayeweza kufunga magoli kutoka kwenye kila angle(Header,tap in, Far shooting,battling n.k)
Kuna watu wanamlinganisha na Firminho anavyocheza false 9..aisee Firminho ni mtu mwingine
Halafu kitu kingine, Lukaku mwenyewe hivi majuzi kasema, alifikiria kuondoka Man u siku alipocheza mechi pili toka anasajiriwa.1. lukaku mwezi wa tatu amerequest kuondoka mwenyewe, hii ni kauli yake
“Solskjaer has my eternal respect. He understood me when I said in March that it was time for me to leave.
“I have been in the Premier League as an 18-year-old boy and now I am 26.
“Solskjaer wanted to keep me, but I was ready for something new.”
hivyo ole hakutaka kumuuza na alikuwa anambembeleza abaki, kama unavyomuona Rashford anatokea pembeni ila anafunga sana magoli ndio Ole alivyokuwa anamuona Lukaku atokee kulia na kufunga (timu ya taifa Lukaku pia anatokea pembeni).
hivyo hizo stori za ole ndio amemuondoa Lukaku ni chai tu za kijiweni.
2. martial ndio fundi wetu kwenye attacking yeye ndio anaunganisha timu, nikukumbushe tu alivyoumia hatujafunga zaidi ya goli 1 mechi zote ushahidi wa matokeo huu
View attachment 1340090
hii ni stats ya toka december ila itakusaidia kidogo record ya man utd na martial na bila martial
With Martial starting
Played: 15
Won: 11
Lost: 3
Drawn: 1
Goals for: 33
Goals against: 15
Points per game: 2.26
Win rate: 73.3%
Loss rate: 20%
Goals per game: 2.2
Goals against per game: 1
Without Martial starting:
Played: 18
Won: 5
Lost: 6
Drawn: 7
Goals for: 19
Goals against: 22
Points per game: 1.16
Win rate: 27.8%
Loss rate: 38.9%
Goals per game: 1.05
Goals against per game: 1.22
tungecheza mechi zote bila martial sasa hivi tungekuwa tunashindana na Aston villa kwenye kushuka daraja, na tungecheza mechi zote na martial sasa hivi tungekuwa nafasi ya pili tumetulia
kama unavyomuona firmino pale liverpool yeye ndie anaewafanya mane na salah wawe na viwango vikubwa kuliko uwezo wao, kuna movement zinafanya kwenye 4-3-3 ambayo striker anatakiwa acheze kama false 9 ili magoli mengi yatoke kwa watu wa pembeni.
#mufc are said to be preparing a £20m offer for Fenerbahce striker Vedat Muriqi before Friday's transfer deadline. #muzone [Yeni Safak via men]
#TeTesiView attachment 1340846
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema wewe tunakuonaga una bifu personal maana timu ikiwa inacheza vibaya unamtarget tu Martial,badala ya kuangalia na wachezaji wengine
Uko sahihi,Martial hawezi kutupeleka popote..hata tu-battle na mabeki mipira ya juu hafanyi,anafanya tu kuangalia..shenzi sana huyu jamaa..tusajili mchezaji anayeweza kufunga magoli kutoka kwenye kila angle(Header,tap in, Far shooting,battling n.k)
Kuna watu wanamlinganisha na Firminho anavyocheza false 9..aisee Firminho ni mtu mwingine
Kabla ya kufanyiwa sub,lingard alipoteza mpira na ole alimfokea,na huko kumkumbatia ilikuwa ni kumpooza tu..1. Sijaona akimkaripia Lingard ila niliona alipotolewa OGS alimkumbatia kwa bashasha na akionekana dhahiri akimwagia sifa tele kwa mpira alioupiga jana(tafuta clip alipofanyiwa sub)
2. Naona OGS amegundua ujinga wa huyo bishoo mvivu asiyetaka kuvunjika pua. Mipira yote ya juu inapigwa hasumbuki hata kuruka kichwa kum-disturb beki. Anamuacha Otamendi anaruka peke yake (Sijawahi kuona forward mjinga kiasi hiki.)
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona niliyosema yanaenda kutimia....amebaki wolversampton sasa+ bruno hasira zote kwisha Ole Nasha anaendelea kutesa....Game ya Wolvers mtashinda na game ya City mtashinda then mtasema wenyewe OGS & Eddy IN baada ya hapo ni msoto mkali....
Nyumbu ni NYUMBU tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusubiri Chief,Hizi ni mambo zenu za Arsenal man U hawana Tabia hii, sijawahi ona mshabiki wa Man U anaempenda huyo Ed hali ya kuwa anaijua Historia ya Club.
Watapigwa hadi wachakaenilimisi Advice zako
Umetoa angalizo muhimu sana ,wasije kuonekana wanapinga juhudi za awamu ya 5
Umejitia kisu mzee.Pep katia watikisa nyavu watano
MUFC akitoa draw au kushinda leo siingii humu wiki nzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu hawafahamu umuhimu wa kuwa na wachezaji wanaoheshimu jezi, Mc tominay kipaji chake kidogo sana lakini anajua umuhimu wa kuvaa ile jezi.Halafu kitu kingine, Lukaku mwenyewe hivi majuzi kasema, alifikiria kuondoka Man u siku alipocheza mechi pili toka anasajiriwa.
Sent using simu mbovu
Kwa mnaoangalia mechi za Man u, nisaidieni.
huyu Brandon Williams mnamuelewaje?