Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,536
- 3,883
Dah sorry aisee nilikuwa na hasiraMkuu unakielewa ulichokiandika?
Story huwa zinaanza hivi hivi, na bodi huwa inatoa hakikisho hivyo hivyo.... Hata kipindi cha Jose ilikuwa hivyo hivyoView attachment 1332325
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaruka balaa. Akirudi man utd degea atasubiriHuyu kipa anajua sema hayupo timu kubwa ,arudi man u achukue namba 1
Watford akipita leo jumapili tunakutana nao..itakuwa away..tutakaa tena kama kawaida
Hakuna wa mtu mbaya kama edowood
Itakua safi sana.Watford akipita leo jumapili tunakutana nao..itakuwa away..tutakaa tena kama kawaida
Ole haongelei mambo ya ufundi kwenye press zake kitu ambacho indirectly kingekuwa kinawaanika akina ed na glazers wakafanya mambo. Kila wakati anaongelea positive moments ambazo kiuhalisia ni chache na hazishabihiani na matokeo. Kuna haja ya kumfanya Haji Manara (msemaji) wetu kuliko mkuu wa benchi la ufundi.Ndio maana na mimi naona huyu jamaa ni tatizo zaidi
Anapenda sana kuwa kocha wa United kiasi cha kwamba yupo tayari kuongea ujinga ili asiwauzi wakubwa. Haka kajamaa wakati Glazer ana take over United kalikuwa very critical, sasa hivi unaweza dhani ni mtu mwingine kabisa, kumbe unafiki sio bongo tu hata wazungu wapo
Hawezi kuwaambia ukweli kwamba kuna mapungufu hapa na hapa, kanapiga siasa tu ili kaendelee kuwepo kwenye timu, sina uhakika kama atafikisha hata mechi 100 huyu jamaa
Lakini hata mbinu zake nimekuwa na mashaka nazo, too predictable, too rigid, too boring
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana na mimi naona huyu jamaa ni tatizo zaidi
Anapenda sana kuwa kocha wa United kiasi cha kwamba yupo tayari kuongea ujinga ili asiwauzi wakubwa. Haka kajamaa wakati Glazer ana take over United kalikuwa very critical, sasa hivi unaweza dhani ni mtu mwingine kabisa, kumbe unafiki sio bongo tu hata wazungu wapo
Hawezi kuwaambia ukweli kwamba kuna mapungufu hapa na hapa, kanapiga siasa tu ili kaendelee kuwepo kwenye timu, sina uhakika kama atafikisha hata mechi 100 huyu jamaa
Lakini hata mbinu zake nimekuwa na mashaka nazo, too predictable, too rigid, too boring
Sent using Jamii Forums mobile app
Mc cane kati ya watu wote nilitegemea uwe wa mwisho kukata tamaa hivyo,hahahaha😀Table inadanganya sana kwa kuangalia position, ukitaka uhalisia angalia points
Hata huyo namba 5 na wa relegation zone bado hawatofautiani kiivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo fixtures zilivyokuwa nasikia harufu ya kutimuliwa mtu hapo01/02 = tunacheza nyumbani dhidi ya wolves
- sheffield anashika nafasi ya 8 na amezidiwa kwa alama 1 na manchester united wanaoshika nafasi ya 5
- southampton anashika nafasi ya 9 na amezidiwa kwa alama 3 na manchester united wanaoshika nafasi ya 5 (mechi 10 za mwisho wamepoteza mechi mbili na draw 1)
- newcastle anashika nafasi ya 14 na amezidiwa kwa alama 4 na manchester united wanaoshika nafasi ya 5.
- brighton wanashika nafasi ya 15 na amezidiwa kwa alama 9 na manchester united wanaoshika nafasi ya 5
- wattford anashika nafasi ya 19 na amezidiwa kwa alama 11 na manchester united wanaoshika nafasi ya 5.
- norwich anashika mkia amezidiwa kwa alama 17 na manchester united
17/02 = tunacheza ugenini dhidi ya chelsea
23/02 = tunacheza nyumbani dhidi ya watford
01/03 = tunacheza ugenini dhidhi ya everton
07/03 = tunacheza nyumbani dhidi ya ma city
14/03 = tunacheza ugenini dhidi ya tottenham