Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

For Now and the future,
Rashford is our star.
Screenshot_20200111-233546.jpg
Screenshot_20200111-233629.jpg


Sent using simu mbovu
 

Attachments

  • Screenshot_20200111-233629.jpg
    Screenshot_20200111-233629.jpg
    67.3 KB · Views: 6
Mkuu mbona una panic?? Jitahidi ukae mbali na stress. Utaumia mm ni man utd damu. Nilikuwa pub moja naangalia game, kakaja kamwanachuo kamoja kana chuchu, kakatamka maneno wkt mechi inaendelea akimwambia mtu kwenye simu, eti ni mechi ya nyumbu vs. xxx niliunia sana.

Nilipokageukia kafupiiii nikagundua akili zake zipo karibi na Mavi. Nikakaacha, wakati mechi inaendelea kanaongeaongea nikaamua kuhama maana ningepata kesi. Mkuu nimehama vibanda umiza kwa sabb ya Wapumbavu wa mpira(mashabiki uharo) kitu chakwanza

Wanaichukia man utd najua sababu(timu yenye mafanikio

Tukicheza na timu yyt lazima wajae

Sisi tunamafanikio wengine wanayatafuta

Hatuna shobo mchezaji, kocha akileta shobo fukuzilia mbaaari
You don't know me mkuu,

Mimi ni mpole/mstaarabu kwa wapole/wastaarabu, ila ni kichomi kwa mburulaz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
√Brandon Williams yuko poa sana..Hakuna Kitu Shaw anamzidi huyu dogo zaidi ya unene,lakini dogo kuna vitu amemwacha Shaw..dogo movement zake zipo poa na anafika ontime kwenye baadhi ya maeneo kufanya recovery..very impressive

√Mata is not anywhere near from what we want in No 10 position,lakini akicheza atleast unaona kitu sio kama Lingard huyu aliyejifia

√Natamani sana tumpate mchezaji damu changa atakayecheza kama Matic..yupo so confident na mpira mguuni..proper midfielder

√Greenwood ni top class finisher ajaye kama atakuzwa vizuri

√Norwich ni wabovu sana..Hakuna kikubwa cha kujivunia kuwafunga nne old trafford

√Next PL match ni Liverpool away,itakuwa noma sana
Ndio maana yule mwanamke anadai hataki bruno aje OT kwa sabb anajua mziki wake utakuwa wa kisengereua liverfuc k
 
Mkuu, No panic

Eti akili zake zipo karibu na Mavi
Mkuu mbona una panic?? Jitahidi ukae mbali na stress. Utaumia mm ni man utd damu. Nilikuwa pub moja naangalia game, kakaja kamwanachuo kamoja kana chuchu, kakatamka maneno wkt mechi inaendelea akimwambia mtu kwenye simu, eti ni mechi ya nyumbu vs. xxx niliunia sana.

Nilipokageukia kafupiiii nikagundua akili zake zipo karibi na Mavi. Nikakaacha, wakati mechi inaendelea kanaongeaongea nikaamua kuhama maana ningepata kesi. Mkuu nimehama vibanda umiza kwa sabb ya Wapumbavu wa mpira(mashabiki uharo) kitu chakwanza

Wanaichukia man utd najua sababu(timu yenye mafanikio

Tukicheza na timu yyt lazima wajae

Sisi tunamafanikio wengine wanayatafuta

Hatuna shobo mchezaji, kocha akileta shobo fukuzilia mbaaari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila nae solskajaer alifanya maamuzi magumu sana kumuamini martial na rashford pale zile timu za top 5 hamna anaeweza kufanya ukiangalia na mwenendo wa timu ulivyo chelsea wamelazimishwa kuikubali ile hali bila kufungiwa tusingeona haya mambo ya wakina mount kamuacha herrera kamuamini scott
 
Mkuu kwa Herrera OGS hakutaka aondoke, ni kosa la akina Ed

Maana OGS alisema kwamba Herrera ni mchezaji muhimu kwenye mipango yake (alisema kabla Herrera hajaondoka) lakini hawezi ku push, si unajua ni Mr. Yes Man
Ila nae solskajaer alifanya maamuzi magumu sana kumuamini martial na rashford pale zile timu za top 5 hamna anaeweza kufanya ukiangalia na mwenendo wa timu ulivyo chelsea wamelazimishwa kuikubali ile hali bila kufungiwa tusingeona haya mambo ya wakina mount kamuacha herrera kamuamini scott

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom