shaw kaumia kwenye warm up, jamaa ni pancha sana.B.Williams anamkalisha bench shaw hadi shaw anaanza kunenepa tena!
Shaw atafute timu ya kwenda!
You don't know me mkuu,
Mimi ni mpole/mstaarabu kwa wapole/wastaarabu, ila ni kichomi kwa mburulaz
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana yule mwanamke anadai hataki bruno aje OT kwa sabb anajua mziki wake utakuwa wa kisengereua liverfuc k√Brandon Williams yuko poa sana..Hakuna Kitu Shaw anamzidi huyu dogo zaidi ya unene,lakini dogo kuna vitu amemwacha Shaw..dogo movement zake zipo poa na anafika ontime kwenye baadhi ya maeneo kufanya recovery..very impressive
√Mata is not anywhere near from what we want in No 10 position,lakini akicheza atleast unaona kitu sio kama Lingard huyu aliyejifia
√Natamani sana tumpate mchezaji damu changa atakayecheza kama Matic..yupo so confident na mpira mguuni..proper midfielder
√Greenwood ni top class finisher ajaye kama atakuzwa vizuri
√Norwich ni wabovu sana..Hakuna kikubwa cha kujivunia kuwafunga nne old trafford
√Next PL match ni Liverpool away,itakuwa noma sana
No sio level bado. Magwaya je, D-DEa je?Namuangalia BF naona anavaa kitambaa cha u captain
Tuko sokoni. Nne kitu gani?
Shaw bye byeB.williams alikuwa yeye na goli akapaisha.
Ila all in all dogo yuko vizuri sana.
Anatishia namba ya shaw.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona una panic?? Jitahidi ukae mbali na stress. Utaumia mm ni man utd damu. Nilikuwa pub moja naangalia game, kakaja kamwanachuo kamoja kana chuchu, kakatamka maneno wkt mechi inaendelea akimwambia mtu kwenye simu, eti ni mechi ya nyumbu vs. xxx niliunia sana.
Nilipokageukia kafupiiii nikagundua akili zake zipo karibi na Mavi. Nikakaacha, wakati mechi inaendelea kanaongeaongea nikaamua kuhama maana ningepata kesi. Mkuu nimehama vibanda umiza kwa sabb ya Wapumbavu wa mpira(mashabiki uharo) kitu chakwanza
Wanaichukia man utd najua sababu(timu yenye mafanikio
Tukicheza na timu yyt lazima wajae
Sisi tunamafanikio wengine wanayatafuta
Hatuna shobo mchezaji, kocha akileta shobo fukuzilia mbaaari
No sio level bado. Magwaya je, D-DEa je?
Mechi yao ya jana alikuwa ndio team captainNo sio level bado. Magwaya je, D-DEa je?


Munataka mutumie ile moja iliyobaki..



Ingekuwa penat sio goli basi argentina wangekuwa mabingwa wa copa america muulize mess machungu ya kukosa panet usituletee takataka yako hapaTammy Abraham kafikisha 15 goals with 0 penalties.
Uyu Rashid sasa dah....
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila nae solskajaer alifanya maamuzi magumu sana kumuamini martial na rashford pale zile timu za top 5 hamna anaeweza kufanya ukiangalia na mwenendo wa timu ulivyo chelsea wamelazimishwa kuikubali ile hali bila kufungiwa tusingeona haya mambo ya wakina mount kamuacha herrera kamuamini scott