Nyambiza jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2018
- 1,033
- 1,852
Uzwazwa wetu ni upi wewe Arsenal toa facts yaani umekurupuka huko na stress za kuwa wa 11 umekimbilia kwenye jukwaa letu
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzwazwa wetu ni upi wewe Arsenal toa facts yaani umekurupuka huko na stress za kuwa wa 11 umekimbilia kwenye jukwaa letu
Mzee dogo anakamiwa sana baada ya timu kujua kuwa ni hatari akiwa anakimbia alafu mko nyuma so siku hizi ni kusukumwa, ngwala, na kumvuta hadi anaonekana hamna lolote asee!
Kingine Forward wanamuangusha jamaa anawahi golini Martial wanafanya mazoezi kuelekea golini so mipira mingi yake inakatiza golini bila impact.
Tungekuwa na forward kama Vardy mbona leo De Bruyne assists zake zingekuwa mboga.
Ishu ya Bruno naona imezima,tokea jana hakuna updates zozote
Ungeniuliza mimi ningekuambia yule jamaa wa Ajax, anaitwa Hakim Ziyech(sijui kama nimepatia jina lake).Kuna siku nililisemea hili humu,kuna mdau akasema for the meantime James ni wa muhimu kuliko Rashford..
Ukiacha Sancho,mchezaji gani mwingine una-propose aje kwenye hiyo nafasi??
Ana mguu wake fulani hivi kama Mahrez..Ungeniuliza mimi ningekuambia yule jamaa wa Ajax, anaitwa Hakim Ziyech(sijui kama nimepatia jina lake).
Jamaa yuko poa pia.
Uzuri RW anaeweza kucheza kama namba kumi.
Japokuwa hatujawahi kuhusishwa nae, sijui kwa nini.
Sent using simu mbovu
Okay,Let's wait mkuu...Weekend mkuu, hata wao huwa wanatulia especially Jumapili
Kuanzia kesho kama dili lipo utasikia mchakamchaka wake na anaweza hata kucheza game ya Liverpool (kama dili lipo)
Sent using Jamii Forums mobile app
Ziyech ndie mchezaji rahisi mzuri tunaeweza kumpata bila kuvunja kibubu, sema ni type ya 4-2-3-1 zaidi kuliko 4-3-3.Kuna siku nililisemea hili humu,kuna mdau akasema for the meantime James ni wa muhimu kuliko Rashford..
Ukiacha Sancho,mchezaji gani mwingine una-propose aje kwenye hiyo nafasi??
Mkuu usiniquote vibaya sio kwamba simkubali james, nampenda sana huyo dogo na kuwa squad player pia sio jambo baya na ni kweli Messi pia anastruggle timu zikipaki basi.Mkuu sio James tu anaye struggle dhidi ya timu inayocheza low block
Hata Messi huwa ana struggle anapokumbana na timu za aina hiyo
So far DJ ana goli 3, ana assists 6na assists ya mwisho ni ya juzi juzi dhidi ya Burnley na anachezeshwa kutokea kulia, upande ambao sio favorable kwake
Martial na Rashford wakichezeshwa kutokea kulia tutawakataa baada ya mechi 3 tu
Sent using Jamii Forums mobile app
The Bruno Fernandes deal is off. United refused to meet Sporting's demands.
MAN U bwana Ubahili mbaya sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee Bruno inabidi tumchkue this January ili august tufanye usajili mwingine wa maanaSporting Lisbon wajiandaa na maisha bila Bruno Fernandez
Kocha wa Sporting CP (Silas) alipoulizwa kama kwenye mechi ijayo (ijumaa) dhidi ya Benfica Bruno atakuwepo alijibu kuwa, ana tamani Bruno awepo lakini hana uhakika
Meneja huyo aliongeza kuwa Sporting CP wapo tayari kushiriki kwenye mashindano msimu huu wakiwa na Bruno au bila ya Bruno
Swali ni kuwa, Bruno yupo mbioni kuondoka, je ni kwenda United au kuna timu nyingine inakimbiza mwizi kimya kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunapeleka posa kwao kisha wanajukwaa wote tunamvalisha pete ya uchumba huyu Ollachuga Oc mbele ya mademu zakeBado goli moja tu utoke humu.
Marcus Rashford.
Marcus Rashford.
14 EPL goals.
MARCUS RASHFORD.
Bye bye ollachunga in advance.
Huyu Mjukuu wa mtume tunampata kwa bei ya 30 mil tuZiyech ndie mchezaji rahisi mzuri tunaeweza kumpata bila kuvunja kibubu, sema ni type ya 4-2-3-1 zaidi kuliko 4-3-3.
Sancho ndio anafit kabisa mfumo wetu.
Sema akija Sancho inabidi na midfield mtengenezaji vile vile aje, ila akija Ziyech anaweza kusolve tatizo la midfield yetu kutengeneza Magoli.
Tammy ana 15 goals with 0 penalties.. Wewe jua ilo mengine achananayoIngekuwa penat sio goli basi argentina wangekuwa mabingwa wa copa america muulize mess machungu ya kukosa panet usituletee takataka yako hapa


Kwani rashid ngap amekosa?Mara ya mwisho nakumbuka alipiga penatia, akakosa, akaambulia ubaguzi wa rangi
Kama hawezi kupiga penati sisi tumsaidiaje
Sent using Jamii Forums mobile app


Ni kweli mkuu ila Rashid ana misimu mingapi EPL ukikompeya na Tammy..1. Rashford Ana Goli 19, ukijumlisha na Timu ya Taifa ni Goli 25 tayari yupo on course ya goli 40 ama 50 msimu huu.
2. Amebeba mchezaji bora wa mwezi december
3. Rashford Ana Assist nyingi zaidi ametoa 6 so far msimu huu compare na 4 za Tammy.
4. Hapo hatujaenda Aspect nyengine kama Dribling, take on za mabeki, pace, ambazo rash yupo vizuri zaidi.
Kifupi mkuu kajitahidi Tammy ila Rashford Kamfunika sana


Ci tulisema 20 mkuu tulibadili makubaliano na Chief-Mkwawa na Mc caneBado goli moja tu utoke humu.
Marcus Rashford.
Marcus Rashford.
14 EPL goals.
MARCUS RASHFORD.
Bye bye ollachunga in advance.