Ngoja wolves wawabake LeoNyie mashabiki wa arsenal mnaoweka kelele humu tulieni, hamuoni ndugu yenu Aaron kashika adabu.
Kushinda mechi moja kelele
na
saa ngp?!Alafu wanakutana Naye huku juzi alipingwa na Liverpool, Hivyo manyumbu lazima Nuno awakalieNgoja wolves wawabake Leo






Kwani hii katokaje?Kocha wetu anashinda mech mbili ya tatu kichapo ya nne suluhu au kichapo anarudi tena kushinda mech mbili