Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Inaonekana hatuna namna nyingine ya kufunga zaidi ya counter-attack, ambazo Arsenal amefanikiwa kuzuia.
 
hii game Arteta kawaweza! kikosi alichoanza nacho ndio anatakiwa awe anakipanga

watoto awaingize baada ya kazi kukamilika kama anavyofanya dhidi ya manyumbu fc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…