Huyu mwamba atajwi tajwi sana ila ndio mchezaji wetu muhimu sana pale kati, timu ishinde/ifungwe mwamba lazima aonekane, ana mapafu anazurura uwanja mzima, kafanya tumsahau kidogo pogba
Jana kafanya mtu mzima Matic awe na kazi rahisi pale kati
kipindi yupo shartar donesk Pep alimtaka ila Mou akawai japo Mou alishindwa mtumia na soka lake la kupaki bus
Nina amu kuona viungo watatu wakicheza pamoja either
Fred/Scot/Pogba au
Fred/Matic/Pogba
View attachment 1306366
Sent using
Jamii Forums mobile app