Konaball,
Kocha tunaongoza lakini ametuzingua mechi hii ilikuwa ya kuvunja record ya magoli ila mhhh
Kama umegundua kitu bench letu la ufundi kuanzia kocha mkuu Ole na msaidizi wake Mike Phelan pamoja na hawa makocha wa vikosi vya kwanza Kieran Mckenna na Michael Carrick wanafanana sana kiuwezo na kimtizamo hasa hasa linapokuja swala la kuusoma mchezo unapoendelea ambao kwa maoni yangu binafsi uwezo wao wote ni mediocre, mechi ikiwa ngumu tukiwa tumefungwa ni ngumu sana kupata matokeo.
Laiti kama Ed Woodward angekuwa smart walau nusu ya uwezo wa David Gill (He was overseeing club's operations beyond stakeholders interest sio kama huyu kilaza Ed anayeweka mbele zaidi maslai ya Glazer family rather than our happiness as fans sijui kwa ssb kisa alikuwa mshauri wao wakampa kazi kiushikaji) angeenda RB Leipzig kumshawishi Julian Nagelsmann aje kuongeza nguvu kwenye bench la ufundi kama atakubali awe kocha msaidizi with some convincing promises kama atakuja kupewa timu baadae. He's very inquisitive and smart.