Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,069
- 20,330
wewe umalizi juu arsenal msimu huu ..kama arsenal akiwa nafasi ya kumi na tatu ..wewe utakuwa kumi na nne ..ivyo ivyo mzunguko utaenda had msim uishe
![]()
Haya maneno yamekosa hekima ndani yakemmeshinda na chupi siku nzima
Wachezaji wetu hawana pumzi. Wanachoka mapema na second half tunakuwa vipigo au draw.What does this signifies??
The day we were waiting is here..
United Vs Spurs
Tukifungwa leo itabidi nimeze Diazepam 5mg ili niweze kulala
The day we were waiting is here..
United Vs Spurs
Tukifungwa leo itabidi nimeze Diazepam 5mg ili niweze kulala
The day we were waiting is here..
United Vs Spurs
Tukifungwa leo itabidi nimeze Diazepam 5mg ili niweze kulala





Hilo la kutokutumia crosses vizuri li anikera sana..1.Karibia kila mechi ya Man u, kuna crosses zinapotea bure. Huku maattackers wetu wamekaa nje ya box, na hili linajitokeza mara nyingi sana.
2.loose ball yoyote ile lazima iangukie kwa wapinzani, wachezaji wetu hawahangaiki kujishughurisha . mfano zile long balls zinazopigwa na degea, mara nyingi huwa zinaishia kwa opponent. Why?
3. Tuwapo uwanjani kuna uwazi mkubwa kati ya defence-middfield, middfield na attack.
Ndio maana mara nyingi tunakuwa outnumbered.
Iwe tumepigwa shambulizi la kushitukiza, au tukiwa tunashambulia.
Kwa uzoefu wangu mdogo timu nyingi nzuri, zina work as a unity. Hii inawasaidia kuwa na options nyingi za kutoa pass.
Haya ni baadhi ya mambo yanayo nistajabisha na kunihuzunisha ninapotazama mechi za Man u.
Kiufupi wachezaji wetu wamelizika, hakuna fighting spirit kabisa, na hili liko Chini ya Manager na bechi lake la ufundi.
If all PL matches finished at half time this season
View attachment 1280156
Kuna njia nyingi za kujipa faraja baada ya mambo kuwa magumu.
Hii ni moja wapo pia.
Kuna njia nyingi za kutafakari tunakwama wapi
Hiyo ni mojawapo
humu watu tupo mbali sana na uwanja wa mazoezi wa Carrington ila tunasema timu inacheza kama ndio siku ya kwanza wamekutana uwanjani alafu hapohapo kocha anatuambia we are working hard just imagine kocha akipandikiza tactics zake kwa wachezaji vizuri si tutashuka daraja kwahali hii.....
Pia tujiulize solskjaer akifukuzwa united timu gani inaweza kumpa kibarua pale EPL? Just imagine hakutakuwa na timu itakayomtaka solskjaer pale EPL kwavipi awe mtu sahihi kwa timu kubwa kama Manchester United? inasikitisha na inaumiza.........
Dalili njema huonekana asubuh issue ya wachezaji kuwa mediocre players tusisahau van gal alikuwa anaupiga mwingi na watoto wa academy sembuse hawa waliokomaa tu
Magari ya mkaaNasikia Martial kaungana na Pogba tena.
Kazi tunayo mwaka huu.
So sadMagari ya mkaa
Tripu moja shamba nyingine gereji
Nasikia Martial kaungana na Pogba tena.
Kazi tunayo mwaka huu.
Mhamaji mwenyewe anatumia 'X' badala ya 'S' huyo sio shabiki bali ni mshangiliaji.., mimi hata iwe vipi sitohama united abadani sababu ndo timu yangu kufa na kuzikana.