milangomitatu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,469
- 1,167
Hahahahaha jamaa una stress sanaBrando Williams, tatizo kubwaaaa sanaaa...Shaw & Young wako bench pale. Huyu dogo bado sana hana uzoefu wowote.
Hahahahaha jamaa una stress sanaBrando Williams, tatizo kubwaaaa sanaaa...Shaw & Young wako bench pale. Huyu dogo bado sana hana uzoefu wowote.
Speechless with this teamMambo Ni![]()
Kunakofukuta kwingineko
The hammers wa pande za Upton park zamani...
Toffee wa pale Kati Midland, godson park
Ongeza na wewe list ya kwenye mwishi......
View attachment 1276206

Si mlimsifia wiki jana mlivyocheza na Sheffield, leo hafai tena?Brando Williams, tatizo kubwaaaa sanaaa...Shaw & Young wako bench pale. Huyu dogo bado sana hana uzoefu wowote.



Umeona raha ya kudanga kwenye majukwaa yasiyokuhusu eeh....sasa Leo umeliwa kimasihara....siku nyingine heshimu majukwaa ya wakubwa zako kipepe weweNilishasemaa yule masai mungesee tu...!! Nashangaa why anavumiliwaa mamaaee
Tunawakumbusha tu mechi mbuli zijazo ni;
Man Utd Vs Mourinho
Guardiola Vs Man utd
Muwe mnatulia kwenye majukwaa yenu....mnaendaga kwa wengine kufuata nini.....mtulie labda mola atawafikiria viumbe wake wanyonge..Hii timu ni ya kufukuza kuanzia kocha had robo tatu ya wachezaji
Tunawakumbusha tu mechi mbuli zijazo ni;
Man Utd Vs Mourinho
Guardiola Vs Man utd
mmeshinda na chupi siku nzimaI wish tushinde 5 : 0 ila kwa hali yetu nakosa neno.
Fred shida yake nini??..tunataka achezeje??december huenda ikaondoka na kichwa cha mtu asipokuwa makini, lakini hata kama mtu huyo ataondoka sidhani kama kuna jipya atakalokuja nalo huyo mwengine............
pochettino anao uwezo wa kumfanya martial awe mchezaji bora?
allegri anao uwezo wa kumfanya fred awe kiungo bora?
hilo ndio tatizo letu linaloendelea kutukabili kwa takribani miaka 7
kila kocha atakayekuja ataanza upya.
lack of football heritage
wala hana tatizo lolote brotherFred shida yake nini??..tunataka achezeje??
Maskini nawaonea hurumaTunawakumbusha tu mechi mbuli zijazo ni;
Man Utd Vs Mourinho
Guardiola Vs Man utd
december huenda ikaondoka na kichwa cha mtu asipokuwa makini, lakini hata kama mtu huyo ataondoka sidhani kama kuna jipya atakalokuja nalo huyo mwengine............
pochettino anao uwezo wa kumfanya martial awe mchezaji bora?
allegri anao uwezo wa kumfanya fred awe kiungo bora?
zidane anao uwezo wa kumfanya lingard afanane na isco kiuwezo?
ancelotti anao uwezo wa kumfanya perreira awe na sifa kama za ricardo kaka?
hilo ndio tatizo letu linaloendelea kutukabili kwa takribani miaka 7, kila kocha anayeondoka anawacha errors zisiweza kufutika bila ya kufanya usajili
kila kocha atakayekuja ataanza upya.
director of football anahitajika
lack of football heritage
Ile point 1 ndio hii ya leo.Hahahahahahahahah Hapo kuna Hati hati ya kupata point 1 tu mkijitahidi sana.