Upuuzi mtupu kutoka kwa shabiki wa Manchester unitedJones..Jones..Jones amecheza vizuri leo. Kocha kachemka sana kumtoa. Angemtoa william amuingize angalao Tuanzebe au Young dogo kazidiwa sana. RED itampata leo William.
No, kilichofanya tuwafunge goli tatu za haraka ni baada ya wo kutuacha tuuchezee mpira na ndipo tulipo peleka pressure kubwa.wakata Martial yupo timu yako ilipelekewa chuma moja first half wakati huo timu yako shot on target ni moja
Ewe mbugila Nani aliekuroga?Kwahiyo wewe furaha yako ni kufunga magoli matatu na sio kupata point tatu.
I can't believe Manchester United Fans are happy for a draw
Kama kuna Mshabiki wa Liverpool aliyetupatia draw kwa timu mbovu kama Manchester United huyo atakuwa na matatizo ya akili.Acheni zenu nyie Lalana alivowasawazishia goli siku ile mbona mlishangilia kwani haikua draw? Au mkishangilia nyie ni sawa ila sisi sio sawa, kuna scenario za mechi zinakufanya ufurahie hata ile alama 1 uliyoipata than kupata nothing
Mkuu kweli tumefika hatua hii kweli hali ni mbaya na inaumiza sana.... Inawezekana upo sawa maana mim nimepoteza hela ndefu sana kwenye hii gamematokeo ni sahihi sana kwa timu zote...........
Tatizo lako ndio hilo,Matusi ndio silage yako by the way ACHA CHUKI NA MOURINHO na nakuhakikishia MOURINHO a nakupiga OT save hii.Ewe mbugila Nani aliekuroga?

Mwanamke alikuwa domo kaya sana kabla hajapewa talakaMaisha ni kama Gwalide ukiambiwa nyuma geuka wa Mwisho ana kuwa kwanza wa Kwanza anakuwa wa Mwisho...
.Imagine leo hii Manchester United Fans wana Celebrates a draw with Sheffield United.


Upuuzi mtupu kutoka kwa shabiki wa Manchester united
Hahahahahahahahah Hapo kuna Hati hati ya kupata point 1 tu mkijitahidi sana.Mechi 3 zijazo za Man Utd kwenye EPL
Man Utd Vs Aston Villa
Man Utd Vs Spurs ya Mourinho
Man City Vs Man Utd
Lile Genge la wahuni wa Tottenham lililokuwa linapiga kelele kuwa uwanja wa Sheffield United haufungiki magoal matatu waje Tena.
GGMU.
Hahahahahahahahah
Ungenifunga ningekuona wa maana, kwangu haya maneno yote ni worth..lessKama kuna Mshabiki wa Liverpool aliyetupatia draw kwa timu mbovu kama Manchester United huyo atakuwa na matatizo ya akili.