Experience live football streaming and soccer streams on FootyBite. Watch your favorite matches, join passionate football fans, and enjoy high-quality streams of your beloved sport
laiti kama angelibakishwa Ander Herrera na baadae akaongezwa play maker mfano wa Bruno Fernandez nina uhakika hili tatizo la midfield tusingelikuwa na muda wa kulizungumzia.
scott + bruno + herrera
herrera + pogba + bruno
tumezipoteza lulu kwa makusudi
√mimi nastick tu kwa Lukaku..hivi kwa nini alimuuza bila ya kuwa na replacement ambayo ipo tayari??..Jibu ni simple tu,,nia yake ni kuwapa nafasi Martial,Rashford,James,kitu ambacho kocha anayejielewa asingeweza kufanya kwa kuangalia tu takwimu na hawa vijana kwa misimu iliyopita