Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ole amecheza kamari za kishamba kabisa..

√mimi nastick tu kwa Lukaku..hivi kwa nini alimuuza bila ya kuwa na replacement ambayo ipo tayari??..Jibu ni simple tu,,nia yake ni kuwapa nafasi Martial,Rashford,James,kitu ambacho kocha anayejielewa asingeweza kufanya kwa kuangalia tu takwimu na hawa vijana kwa misimu iliyopita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…