Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dogo kawa MOTM, amecheza poa ila kwangu mimi ni Fred au DJ
Screenshot_20191110_202149_com.instagram.android.jpeg
 
Yule dogo Halland wa salzburg anatupia balaa kwa striker wetu kina rash wala hawaingii hata kidogo inafaa tumsajili tu
Mkuu hizo ligi za wanawake , Kuna mtu alikuwa anaitwa Clasjan Hunterer (Siko sahihi kwenye kuandika jina lake)... Aliwahi kufunga magoli 30+ kuelekea arobain kwenye ligi kuu ya uholanzi kwa msimu mmoja ....


Madrid walimsajili kwa mbwembwe akaishia kuwa flop ... so acha kumlinganisha Rashford na hao watoto wadogo.
 
Mkuu hizo ligi za wanawake , Kuna mtu alikuwa anaitwa Clasjan Hunterer (Siko sahihi kwenye kuandika jina lake)... Aliwahi kufunga magoli 30+ kuelekea arobain kwenye ligi kuu ya uholanzi kwa msimu mmoja ....


Madrid walimsajili kwa mbwembwe akaishia kuwa flop ... so acha kumlinganisha Rashford na hao watoto wadogo.

Mifano ipo mingi tu hata kwa Depay, Pepe, Chamakh and c.o kwenye Ligi za Wakulima na Wanawake walitamba lakini wakigusa EPL tu wanaishia kuwa Molinga
 
Juventus wanaweza kuwatoa wachezaji wake wanne kwenda Manchester United akiwemo mshambuliaji wa Croatia, Mario Mandzukic, 33, kiungo wa Ujerumani Emre Can, 25, beki wa Italia, Dani Rugani, 25, na kiungo wa Ufaransa, Blaise Matuidi, 32, kubadilishana na kiungo wa Manchester United na Ufaransa Paul Pogba, 26. (Tuttosport, kupitia Sunday Express)
 
mhh
Last season tulipata points 97 bila ya VAR

Ndipo kwenye Mitandao zikaibuliwa hoja Kuwa kungelikuwa na VAR Liverpool asingeingia hata Top Four

Hatimae VAR imekuja munalialia tena! Mbona hamusomeki?
mhh aya mkuu nimekupata ila kwa hisani ya ??!!!!!!!!!!!
 
Kila mwezi huwa mnashinda match moja ya epl mpaka sasa umeshindwa kulijua hilo?
Dah yaan man yuu tumekuwa na maisha yasiyo na uhakika. Hatujui tutashinda lini na tutafungwa lini...e.g Leo nilijua tufungwa cheki Sasa tutashinda hahaha
 
Hongereni kwa Ushindi jana Klopp alimzidi Guardiola kwa kila kitu uwanjani.

Nilipoona Guardiola kaja kwa 4 3 3 na beki zake vilema nikajua game ilishaisha 3 point tatu kwa Liverpool.
Last season tulipata points 97 bila ya VAR

Ndipo kwenye Mitandao zikaibuliwa hoja Kuwa kungelikuwa na VAR Liverpool asingeingia hata Top Four

Hatimae VAR imekuja munalialia tena! Mbona hamusomeki?
 
Back
Top Bottom