D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
dah! kuangalia mechi za manchester united kuanzia saa 5 usiku inataka uwe na moyo wa uvumilivu na ushujaa ndani yake.Mi sijali ni bora niwaangalie madogo kina Brandon,Garner,Greenwood n.k,,atleast inanipa relief
inshaallah nitakuja kupitia maandishi yako na comments za wadau wengineo asubuhi ya kesho.
OLE apewe muda hata kama tutashuka daraja.