The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 8,011
- 11,429
Hawa wa juzi Bnmth ni nani?Hawa vibonde tumeshawapiga
Hawa wa juzi Bnmth ni nani?Hawa vibonde tumeshawapiga
Wale ndo mashabiki kidakidaki wa Man U,inyeshemvua liwakejua hawakosi kwenye mechi za Manchester bila shaka walikuwa wapeana shift.basi hata kuonyeshwa mara moja moja, au nyakati zile walikuwa wanatafuta kiki kama super mario.
nimewamisi sana wale wahindi
Wale ndo mashabiki kidakidaki wa Man U,inyeshemvua liwakejua hawakosi kwenye mechi za Manchester bila shaka walikuwa wapeana shift.
Marcus Rashford 11 games with 3 goals from open play
Tammy Abraham 12 games with 10 goals from Open Play Na mechi ya 12 bado haijaisha
Also not forgetting that Tammy is younger than Rashford
Aisee! Rashford mshahara wa hivyo maelezo yake vipi?
Kwa msimu huu nani hapo anatafanikisha agenda zake kwa zaidi ya 80%.....AGENDA ZA CHELSEA
1. Kupambana kubeba epl throphy
2. Kupambana kubeba UCL trophy
AGENDA ZA MAN U
1. Kuifunga Chelsea
2. Kuifunga Chelsea
Mbona chelsea wanacheza vizuri sana..sisi tunakwama wapi??
√Wana wachezaji wazuri kutuzidi kwenye kila idara au vipi??
√Wana mwalimu mzuri au nini??
Maana wanacheza kama timu kweli yenye mipango..
Reece James,Mason Mount,Abraham,Tomori,Zouma=On paper hawa si wakawaida tu??...sisi tunakwama wapi??
AGENDA ZA CHELSEA
1. Kupambana kubeba epl throphy
2. Kupambana kubeba UCL trophy
AGENDA ZA MAN U
1. Kuifunga Chelsea
2. Kuifunga Chelsea
Na zikitimia utafanyaje ...Na agenda Man Utd zinafanikiwa
Lakini agenda za Chelsea ni ndoto kutimia
Na kubeba kalaghabao cupAGENDA ZA CHELSEA
1. Kupambana kubeba epl throphy
2. Kupambana kubeba UCL trophy
AGENDA ZA MAN U
1. Kuifunga Chelsea
2. Kuifunga Chelsea