Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hili suala lililetwa humu kuna mdau alisema walihamishwa jukwaa.
Mimi ndio nilisema mkuu wamebadilishwa jukwaa ndio, zile siti za nyuma wame expand staff na kuna nyengine zipo reseved kwa BT.

Hawa hapa Nyuma ya kocha
ndufyz9xmq621.jpg
 
Head of Sport and Development wa Red Bull bwana Ralf Rangnick anawindwa na United kukalia kiti cha DoF

Huyu mjerumani ndiye aliyeipandisha RB Leipzig ya Bundersleague

Ralf ndio jina la karibuni kuhusishwa na nafasi hiyo katika klabu ya United baada ya akina Rio, Fletcher, Van De Sar, Mitchel na wengineo kupigiwa chapuo kupewa jukumu hilo zito
 
Back
Top Bottom