Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unajua liverpool imepeta mashabiki wengi washamba baada ya ujio wa klopp hasa hutu tumiaka tuwili 2018 na 19 kuna wewe na jamaa yako fulani hivi wale wajuz wa mpira wanajua timu yao mbio zake na ndio maana huwa wanakuja hapa nadra

Manchester united pamoja na mwendo wake mbovu toka 2013 had sasa lakin bado ana mafanikio ya vikombe vingi kuishinda liverpool mnayotamba ni bora toka asepe sir alex bisha hilo nishakupa hapo juu

Hata kombe alilochukua liverpool la uefa ni past ndio maana mashindano ya uefa yameanza kumtafuta bingwa mpya sijui kama unatambua hilo au liverpool kachukua leo?
Teh teh teh ... furaha iliyoje. Mzee wa kazi, haupo UEFA msimu huu wala uliopita haukuwemo na hata huo ujao hata Europa ni gambling. We are not on the same level. Malizana na Party huko kwanza, ukaambue sare maana ndo ushindi wenu nowadays.
 
Asee
20191024_183242.jpg
 
Sasa Origi utamfananisha na Pepe?maana lengo lake na yeye ilikuwa kujifananisha mpaka rasta kanyoa ila wapi.....Origi ni Miraji Athuman anayeishi Europe
Pepe ana kitu gani haswa?? Ukosefu wa nguvu za miguuni au?
 
Kumbe kushiriki uefa ndio timu kubwa mashabiki uchwara hawa liverpool upo wewr na mwenzio jina nimemsahau huwez kukuta upupu kama huu kwa wakina king ngwaba
Kumbe jamaa uko empty sana boss. Hakuna timu barani ulaya ambayo ni kubwa na isiwepo UEFA over and over, Kushiriki ni moja ya an indicator of how giant you are.

So you are here comparing Red Star na Partizan na Az Alkmaar ilokutoa kamasi juzi?
 
Back
Top Bottom