Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
Kwa akili yako unadhani Bayern watamuuza? Au huyo Lewandowski atakubali kuja timu inayoshuka daraja?Hivi Man. Utd kuliko kutoa pesa kwa Mandzukic si bora tuchukue Lewandowski maana kila kukicha huyu mzee lazima afumanie nyavu. Ktk umri wa miaka 31 ni mzuri sana akija pale OT anakaa pale kati alf wale watoto pembeni naimani itakuwa hatari sana yule Rashford mzuri sana akitokea pembeni. Huyu mzee ana mkataba hadi June 2023 ila tukivunja kibubu anaweza tua kutupa support. Akifikisha miaka 33 naimani itakuwa tushapata striker mwingine mdogo labda msimu ujao tunaleta kachalii kanaanza kupiga vi-carabao vile mwisho wa siku Lewandowski anasepa anaingia mtu mpyaaa. Hii barua sijui Solskjær na Ed-Woodward wataiona!