Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,353
- 8,465
Disqualified already
Sasa mmebaki na kupambania historia while others live in present.Then 30 years hii hapa hamna epl daaa?
Ila Pepe anapata.Origi hapo Everton tu hapati namba
Present ipi ambayo united hana wewe?Sasa mmebaki na kupambania historia while others live in present.
Liverpool kacheza sana labda manchester city wanaweza kuponda hapa liverpool mwisho ni juz tu 2016Wazee wa futuhi, leo mna mechi huko. Vipi mtatoboa maana kila mechi kwenu fainali...
Wanaingiza parefu huwez lipa hiyo pesa kama huna vyanzoRashford kupewa mshahara wa pauni Laki Mbili Kwa Wiki inatafsiri Manchester United ipoje leo hii
Hahaha sasa imebaki hoja ya epl tu, ile ya kusema mara yenu ya mwisho kubeba kombe imeisha? sasa mmebaki kuongelea your past glory to feel better about your team. How big and glory it was. Anyway, mzee pambana mcheze hata UEFA mzee maana kushiriki tu ishakuwa mithili ya kombe.Present ipi ambayo united hana wewe?
Epl 2013
Europa 2017
Uefa 2008
Carabao 2017
Fa 2016
Yote hayo umeyaona na kujua
Lini umeona liverpool akichukua epl?
Makombe 18 ya division one unayosikia ulikuwa na akili timamu?
Mwaka huu Manchester United kapitwa mapato Na Real Madrid sasa Real Madrid pale wanaochukua hiyo hela au zaidi ni Ramos, Kroos, Hazard, Marcelo, Bale hamna mwingine ninaemjuaWanaingiza parefu huwez lipa hiyo pesa kama huna vyanzo
Ila Pepe anapata.
Ahaaa,,kudadadeki..
Unajua liverpool imepeta mashabiki wengi washamba baada ya ujio wa klopp hasa hutu tumiaka tuwili 2018 na 19 kuna wewe na jamaa yako fulani hivi wale wajuz wa mpira wanajua timu yao mbio zake na ndio maana huwa wanakuja hapa nadraHahaha sasa imebaki hoja ya epl tu, ile ya kusema mara yenu ya mwisho kubeba kombe imeisha? sasa mmebaki kuongelea your past glory to feel better about your team. How big and glory it was. Anyway, mzee pambana mcheze hata UEFA mzee maana kushiriki tu ishakuwa mithili ya kombe.
Lampard ulimbahatisha usijsifu sana watu watakucheka.Hata mech ya liverpool ulimwengu ulitabir cha ajabu mashabik wa liverpool wakaanza kuomba kila mmoja kwa lugha yake shetan kakaba mtu koo muda wote klopp anasemelea kwa waamuzi huku VVD analamba mchanga
Arsenal pia alipewa hivyo hivyo ushindi bahat mbaya aliokolewa na boko la tuanzebe
Kifupi had muda huu hujagundua kama hii timu imeweza kumudu mech kubwa?
Mech 3 hatujapoteza tia akilini hili nakwambia
Mkuu umeamua kusemelea kwa manchester city liverpool kawa kiande?
Lampard kala 4-0
Red star brigedi alikuchapa 2-1 unaweza kuona kama hiyo timu ipo kwenye raman ya sokaWazeee mna mechi na timu inaitwa Panzi, sijui Parimatch... panzimach ... asee hii ndo shida za futuhi, vipi mtatoka? Magoli hata mawili yatapatikana? Au kama kawaida sare?
Goli nne bahat? Punguza cha arushaLampard ulimbahatisha usijsifu sana watu watakucheka.
Nilifikir utaniambia manchester united imefilisika kupitwa na real madrid ni kawaida huwa tunapokezana na barcelona pia mkuu top three timu zenye thaman na mpunga mrefuMwaka huu Manchester United kapitwa mapato Na Real Madrid sasa Real Madrid pale wanaochukua hiyo hela au zaidi ni Ramos, Kroos, Hazard, Marcelo, Bale hamna mwingine ninaemjua
Huku Rashford anachukua laki mbili halafu 2 goals from open play in 9 games