Huyu dogo apumzike tu,juzi wale wapuuzi wa Liverpool wamempiga sana kina VVD
Hii game bila kuingia Daniel James hatupati matokeo. Hii timu ni mbovu.
Huyu dogo apumzike tu,juzi wale wapuuzi wa Liverpool wamempiga sana kina VVD
Katika vitu Ole Ole amefanya na anastahili pongezi ni hizi sajili zake. Hata kama akifurushwa ttutamkumbuka. Tuone January kama atafanya kitu kwenye kiungo na pale mbele. |
Bro kushiriki UCL sio kigezo kuwa timu ni Giant, tukiongelea Uefa Champions Leagues tunaongelea best football clubs in Europe (kwa muda huu) na sio Giant football clubs in Europe. Leo hii hadi KRC Genk yupo UCL unataka kuniambia ni giant!? Tukisema UCL iwe ya ma-Giant tu si tutawakuta Manchester United, Arsenal, AC Milan, Celtic, Benfica, Rangers, Steaua București hao akina Liverpool, Barcelona, Real Madrid n.k. Ila kwakuwa UCL ni kuhusu mabingwa basi hao unaowaita ma-giant wengine hawastahili ila kwakuwa tu ni mabingwa na ni bora kwa wakati huu ndo maana wapo hapo.Kumbe jamaa uko empty sana boss. Hakuna timu barani ulaya ambayo ni kubwa na isiwepo UEFA over and over, Kushiriki ni moja ya an indicator of how giant you are.
So you are here comparing Red Star na Partizan na Az Alkmaar ilokutoa kamasi juzi?
Kwahiyo ticket ya ukubwa ni kushiriki UEFA tu????Inashiriki UEFA?
Jifunze kutulizaga akili mzee kabla tu ya kunena. Kwahyo upo hapa ili tubishane kwamba Abajalo ni timu kubwa ama? Maana sijaelewa nn unaongea au sbb wewe n shabiki wa timu ambayo haijawahi beba UCL hata mara moja? ... naongelea ulaya we unaniambia mambo ya Abajalo ya kwenu Sinza.Kwahiyo ticket ya ukubwa ni kushiriki UEFA tu????
Kwahiyo Man utd ni timu ndogo kwa Genk,Slavia Praha?
Hahahahahahah uwage na aibu walau kidogo
Nashukuru mkuu, mistari miwili ya mwisho imenipa majibu maridhawa.Bro kushiriki UCL sio kigezo kuwa timu ni Giant, tukiongelea Uefa Champions Leagues tunaongelea best football clubs in Europe (kwa muda huu) na sio Giant football clubs in Europe. Leo hii hadi KRC Genk yupo UCL unataka kuniambia ni giant!? Tukisema UCL iwe ya ma-Giant tu si tutawakuta Manchester United, Arsenal, AC Milan, Celtic, Benfica, Rangers, Steaua București hao akina Liverpool, Barcelona, Real Madrid n.k. Ila kwakuwa UCL ni kuhusu mabingwa basi hao unaowaita ma-giant wengine hawastahili ila kwakuwa tu ni mabingwa na ni bora kwa wakati huu ndo maana wapo hapo.
Ila bado si wakutia matumainiFinally,tumeweza kupata ushindi wa away tokea tuliposhinda 3 kwa PSG
Kuna mchezaj aanze kutafuta shughuli ya kufanya taratibu wenye damu ya manchester united wanaanza kuja kuna scott na huyu williamsView attachment 1243635
Hivi ni kwanini Ole anaanzishaga Young badala ya huyu dogo? |
Huna akili wewe bure kabisa.....Jifunze kutulizaga akili mzee kabla tu ya kunena. Kwahyo upo hapa ili tubishane kwamba Abajalo ni timu kubwa ama? Maana sijaelewa nn unaongea au sbb wewe n shabiki wa timu ambayo haijawahi beba UCL hata mara moja? ... naongelea ulaya we unaniambia mambo ya Abajalo ya kwenu Sinza.
Dogo yupo poa,inabidi apewe dakika akomae..
Hivi ni kwanini Ole anaanzishaga Young badala ya huyu dogo?
3 - 4 - 3
