Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,505
- 7,465
4-2-3-1 inahitaji natural number 10 Na kiungo mzuri master wa Pasi unakuwa umemalizahata mourinho 4-2-3-1 ilimzamisha sijui kwa nini hawapend 4-3-3 wasajili tu viungo wa maana warudi ktk huo mfumo
Mfano hapo Man Utd namba nane ya 4-2-3-1 unamuweka McTominay then namba 10 unamuweka Pogba kazi imeisha



