Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Man Utd 'close' to agreeing deal to replace Solskjaer with Allegri, say reports
We jamaa ni fa.laMan Utd 'close' to agreeing deal to replace Solskjaer with Allegri, say reports
Nimekosea nnWe jamaa ni fa.la
Leta habari usilete udakuNimekosea nn
Unamzungumzia mourinho alieshinda europa na kashika nafasi ya pili ligi kuu ya uingereza au?Hata makocha 3 (Allegri + Morinyo + Acceloti) waajirie kwa pamoja kufundisha utd hawawezi kuirudisha man u kileleni otherwise wauze hizo takataka zote wasajili wachezaji wapya wakuanza nao
Huyu lengo lake anataka united ipoteane tu..ndy anafurahLeta habari usilete udaku
Kwan umejuaje ni udaku,ikiwa nimeweka na source, hebu acha wengeLeta habari usilete udaku
Polen man uHuyu lengo lake anataka united ipoteane tu..ndy anafurah
Bodi na hizo takataka, team yenu inahitaji reformsUnamzungumzia mourinho alieshinda europa na kashika nafasi ya pili ligi kuu ya uingereza au?
Mourinho peke yake aliiweza united isipokuwa bodi haina watu wa mpira
Usituletee source za udaku sie hatuna shida nazo uishie nazo hukohuko jukwaa lenuKwan umejuaje ni udaku,ikiwa nimeweka na source, hebu acha wenge
hata mourinho 4-2-3-1 ilimzamisha sijui kwa nini hawapend 4-3-3 wasajili tu viungo wa maana warudi ktk huo mfumo







UsinipangieUsituletee source za udaku sie hatuna shida nazo uishie nazo hukohuko jukwaa lenu




Hahahaha aise mbona kibabe ivoUsituletee source za udaku sie hatuna shida nazo uishie nazo hukohuko jukwaa lenu



Kuna kila dalili goli 5 mtu atafungwa.
Kuna kila dalili goli 5 mtu atafungwa.