Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Na huyo jamaa anayesema asipangiwe, kuna kipindi Liver walikuwa wanazingua.... Kuna jamaa akatupia vijembe kwenye jukwaa lao, alipandisha mori balaa
Unapozungumzia maswala ya michezo tofauti na kuzungumzia mambo ya udaku kama yakina nandy na menina hili ni jukwaa na moja ya sifa ya jukwaa ukionekana unadeviate lazima ukumbushwe na kama unaona unapangiwa we anzisha uzi wako uone kama kuna mtu atakufatilia
 
Man Utd Injury UpdatesView attachment 1236692
skysports_1___B3ujIrKDJ91___.jpeg
 
Pole sana mkuu

Lakini na nyie ni kwanini mnalipenda sana chama letu? Unajua nyie ndio mnafanya tuamini kuna mashabiki wa MUFC na waliobaki wote ni wenye chuki na MUFC na sio mashabiki wa timu nyingine. Yani mpo huko mlipo kwasababu tu ya chuki zenu kwa chama kubwa MUFC.

Mnadai tumeisha ila kwenye uzi wetu mnakunywa chai,mnakula cha mchana na mnakula cha usiku na kulala.
Mjiandae na kuchakaa kipigo cha mbwa mwizi jpili mkuu
 
Hahahahahahah.......Vitu vingine tusipangiane kwa sababu hatusaidiani kununua Bando,Kwanini tupangiaane namna ya kutumia mitandao,Tusipangiane maisha kila mmoja afanye anachoona ni sahihi kwake ........ Unataka ushauri wa Manchester United kwa mashabiki wa Arsenal au Liverpool hahahahahahahahah Jishaurianeni wenyewe huo muda wa kuwapa ushauri sisi hatuna.
Na mimi nakazia hapa
 
Back
Top Bottom