Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Developing.
20191012_162548.jpeg
 
Mkuu ni kweli mwishoni baada ya Ronaldo hatukusajili sana, ila nilikuwa namjibu tu jamaa kwamba alipoondoka kenyon still timu ilikuwa inasajili vizuri 2003 mpaka 2008 yalikuja majembe mengi sana.

Kwa wasiofahamu Fergie Alikuwa ni team manager na sio kocha kama tulio nao sasa. Mara nyingi kocha msaidizi ndio alikuwa kila kitu man u, kwa kipindi hiki nilichotaja msaidizi alikuwa ni Carlos Queiroz ambaye ndio aliwaleta wareno wenzake, na jamaa ndio yupo responsible kumkuza Ronaldo hadi kuwa legend, aliwaleta watu kama Nani, Anderson, Kleberson etc timu yetu ilijaa wareno/watu wanaongea kireno wengi.

Queiroz aliondoka 2008 nafasi yake ikachukuliwa na phelan pamoja na Rene maulensteen kama first team coach,na Approach ikabadilika Rene yeye ni mholanzi tukaanza kuona kina Butner, Rvp etc na phelan nae na waingereza wake ndio ukaona na usajili nao umebadilika.

Wengi wanamlaumu Fergie ila alituachia watu 24 waliokuwa nyuma yake wanaoijua club nje ndani, moyes alipokuja kitu cha kwanza aliwafukuza na kuja na watu wake hapa ndio tukapoteza mwelekeo kabisa, na Ed yeye hajali anaangalia tu mapato taratibu timu ikapoteza mwelekeo na identity tukawa tunasajili sajili tu hatueleweki, Man u ikafanywa tu sehemu ya watu kuchukua mishahara minono na kuondoka.

Na kutomsajili Tevez nafikiri lilikuwa ni suala zuri, 3rd party ownership ilikuwa ni cancer kwenye mpira, na fergie siku zote alikuwa against na vitu kama hivi ndio maana alikuwa hazipandi na Raiola, tevez alivyoenda city walifungana magoli na Berbatov wakashare kiatu, na Rooney pia Alistep up misimu miwili mmoja alifunga goli 39 na mwengine 40 ama 41 kama kumbukumbu zipo sahihi, hivyo forward yetu haikuwa mbaya kivile japo pengo la Ronaldo lilikuwepo.
View attachment 1230778

Ila kwenye midfield ndio ilikuwa tia maji tia maji, nakumbuka kuna kipindi hadi giggs akawa midfield ya kati, tukamrudisha na scholes alipokuwa amestaafu, Na kipindi kile ndio fergie akasema duniani anaona midfield watatu tu wanaoweza kucheza pale united (tetesi ni Modric, Ericksen na sneidjer)
Mkuu nafikiri team ya Ferguson pamoja na uimara wake bado sajili nyingi nilikuwa tia maji tia maji.

Nimesema mwanzo kuwa kipindi cha 2000- 20008 ushindani epl haukuwa mkubwa kama sasa kwani kulikuwa na team chache sana ambazo ni title contender leo hii unazungumzia timu nyingi zimewekeza sana na pressure ya ligi imeongezeka.

Ferguson kwenye dressing room yake aliweza kumaintain strong personality za class of 92 na wachezaji wengine kama kina Ferdinand na Nemanja Vidic, Wayne Rooney etc.

Lakini hebu jaribu kuanzia 2008 upwards mchezaji gani pale Man united aliyesajiliwa akaja kuwa top level player ? Wengi walikuwa back up players ukiondoa Van Persie na Berbatov.

Kuanzia kipindi hicho ushindani wa ligi ulimpush Ferguson kuanza kusajili complete players lakini wengi walidumu kwenye team kwa muda mfupi tu.

Hebu jaribu kuangalia incidence za usajili wa Eden Hazard, Lucas Moura, Luca Modric na Wesley Sneider ulivyokuwa handled pale Man united.

Yawezekana kweli man united iliendelea kufanya vizuri sokoni kwa Ushawishi wa club na Kocha aliekuwepo kipindi hicho. Hauoni Kenyon alivyoibadili Chelsea ndani ya msimu mmoja tu ?
 
Mkuu nafikiri team ya Ferguson pamoja na uimara wake bado sajili nyingi nilikuwa tia maji tia maji.

Nimesema mwanzo kuwa kipindi cha 2000- 20008 ushindani epl haukuwa mkubwa kama sasa kwani kulikuwa na team chache sana ambazo ni title contender leo hii unazungumzia timu nyingi zimewekeza sana na pressure ya ligi imeongezeka.

Ferguson kwenye dressing room yake aliweza kumaintain strong personality za class of 92 na wachezaji wengine kama kina Ferdinand na Nemanja Vidic, Wayne Rooney etc.

Lakini hebu jaribu kuanzia 2008 upwards mchezaji gani pale Man united aliyesajiliwa akaja kuwa top level player ? Wengi walikuwa back up players ukiondoa Van Persie na Berbatov.

Kuanzia kipindi hicho ushindani wa ligi ulimpush Ferguson kuanza kusajili complete players lakini wengi walidumu kwenye team kwa muda mfupi tu.

Hebu jaribu kuangalia incidence za usajili wa Eden Hazard, Lucas Moura, Luca Modric na Wesley Sneider ulivyokuwa handled pale Man united.

Yawezekana kweli man united iliendelea kufanya vizuri sokoni kwa Ushawishi wa club na Kocha aliekuwepo kipindi hicho. Hauoni Kenyon alivyoibadili Chelsea ndani ya msimu mmoja tu ?
Mkuu usisahau Arsenal Invicible na chelsea ya Mou, kipindi hiki hakukuwa na Top 6 lakini ligi ya uingereza ilikuwa vizuri sana na ndio jina la top 4 lilipoanzia. Kwa miaka mfululizo kuanzia 2005 hadi 2008 timu ya uingereza ulikuwa huikosi fainali champions league.

Man u tulipoteana sana, kuna wakati tulikuwa tunatoka makundi uefa, mabango ya Fergie out yakaanza Old trafford, ndio ikaja hio rebuild ya Queiroz ya kina ronaldo, Rooney, Tevez etc na kama nilivyosema comment ya nyuma hicho kikosi cha man U 2007 kwa ligi ya sasa kina uwezo wa kubeba kombe kirahisi tu.

Na build yetu sisi haikuchukua tu Ligi ya uingereza bali tukawa powerhouse Uefa pia ndani ya miaka 4 tukaingia fainali 3, hivyo mafanikio tuliyoyapata kenyon alivyoondoka ni makubwa kuliko alichofanya kenyon man utd na chelsea.
 
Ilo jini kenyon nasikia lilikua na mpango wa kuinunua newcastle sijui umeishia wapi?????
Mkuu nafikiri team ya Ferguson pamoja na uimara wake bado sajili nyingi nilikuwa tia maji tia maji.

Nimesema mwanzo kuwa kipindi cha 2000- 20008 ushindani epl haukuwa mkubwa kama sasa kwani kulikuwa na team chache sana ambazo ni title contender leo hii unazungumzia timu nyingi zimewekeza sana na pressure ya ligi imeongezeka.

Ferguson kwenye dressing room yake aliweza kumaintain strong personality za class of 92 na wachezaji wengine kama kina Ferdinand na Nemanja Vidic, Wayne Rooney etc.

Lakini hebu jaribu kuanzia 2008 upwards mchezaji gani pale Man united aliyesajiliwa akaja kuwa top level player ? Wengi walikuwa back up players ukiondoa Van Persie na Berbatov.

Kuanzia kipindi hicho ushindani wa ligi ulimpush Ferguson kuanza kusajili complete players lakini wengi walidumu kwenye team kwa muda mfupi tu.

Hebu jaribu kuangalia incidence za usajili wa Eden Hazard, Lucas Moura, Luca Modric na Wesley Sneider ulivyokuwa handled pale Man united.

Yawezekana kweli man united iliendelea kufanya vizuri sokoni kwa Ushawishi wa club na Kocha aliekuwepo kipindi hicho. Hauoni Kenyon alivyoibadili Chelsea ndani ya msimu mmoja tu ?
 
Ukweli ni kwamba kulegalega kwenye usajili Man united ilianza zamani tu mathalani usajili wa Wesley Sneider, na Luca Modric ulikuwa uzembe wa mabosi wa united.

Hazard alichagua kwenda Chelsea ndiyo man united wakaenda kumsajili Shinji Kagawa. Haya ya woodward ni mwendelezo tu wa incompetence ya Man united kwenye usajili.
Hazard alitamka kwamba timu itakayobeba uefa ndo ataenda ..ikatokea wanaume tukawa mabingwa basi ndo mchiz akatimba ndan ya Stamford Bridge... Daraja takatifu..

Kila la kheri Chelsea
 
Rio ferdinand:"unanunua mchezaji kutoka swansea na wengi walitegemea huyu atakuja kung'aa kwa baadae na wengi walihisi huyu ndo sub ila cha ajabu ndo mchezaji wakutegemewa kwasasa na ndo mchezaji anaeonesha hali kabisaa na hii nadhani inaonesha kwajinsi gani man utd wachezaj wake wasasa walivyo."
Ferdinand naye kaanza kupiga U-turn sio??
 
Ila mkuu valencia sio Boko, jamaa alikuwa na chenga moja ila kwa msimu anakupa assist za kutosha. Msimu wa 2011/12 jamaa alikuwa na assist 13, kuna mafundi kibao Epl hizo assist wanazisikia tu.
Valencia na Young wamekuja kuwa boko baada ya Ferguson kuondoka, ila alipokuwepo walikuwa ni wachezaji muhimu sana na kama valencia amechangia kwa kiasi fulani kwenye makombe mawili ya mwisho amabapo alitoa assist nyingi sana
 
Mkuu hivi aliyemsajili Eric Djemba Djemba alikuwa nani?
Luis Nani alikuwa akisumbuliwa na majeraha ya mara kwa mara lakin ktk usajili wa kipaji pale united huyu bwana mdogo alikuwa vizur sir alex hakukosea kiasi kwamba akirud kutoka majeruh fom yake inapotea ila alikuwa akikaa sawa ni hatar sana

Sir alex alitoa boko kwa bebe,valencia, owen na veron
 
Back
Top Bottom