radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Unategemea utashinda Anfield labda uwe mpira wa magongoUyu almkuta lampard akiwa ajakaa vizuri ..subiri akutane Naye tena..
Kwani wewe utamfunga?
Kila la kheri Chelsea![]()
Unategemea utashinda Anfield labda uwe mpira wa magongoUyu almkuta lampard akiwa ajakaa vizuri ..subiri akutane Naye tena..
Kwani wewe utamfunga?
Kila la kheri Chelsea![]()
Hakika mkuu hamna kitu muleWaingereza wanawakuza sana wachezaji wao, mm hata madsson na wasiwasi nae sana akienda timu kubwa
Pale Arsenal tuna katoto kanaitwa willock hakana stamina wala u creativity wowote , kwa kuwa na mwingereza ,basi zinapigwa fitna kawe kanaanza badala ya ceballos au ozil ,
Yaani ni vichekesho vitupu,
Watu wanashangazwa na form za kina Abraham , mount ,wamesahau rashford alifanya zaid ya wao tena akifunga timu kubwa , Leo Waingereza wanaona aibu kumkosoa
Waingereza wenye vipaji ni wachache sana, Angalau rahim chin ya pep kasukwa , na Sancho , Ile kuna yule Declan Rice ambaye anapigiwa chapuo aende man u, sion jipya , kuna Sean longstaff eti anauzwa £50m
Wizi mtupu waingereza
https://t.co/wGVBvBjcBT #bbcfootball #WHUFC https://t.co/DiDb3mDyNpHahahahahahahahah Declan Rice jamaa wa kawaida sana sana.Manchester United could spend upwards of £70m to sign West Ham United's England midfielder Declan Rice.
Latest #football gossiphttps://t.co/wGVBvBjcBT #bbcfootball #WHUFC https://t.co/DiDb3mDyNp
Still Mount is better than LingardHata yule mount wa chelsea anatajwa kumzidi lingard walahi utacheka ni kituko jana sterling walau alikuwa anaonekana
Chelsea ina viungo wazur sana pale kati kiasi kwamba madogo wanang'ara ila wale madogo wao siku wakubwa wakizembea pale kati shida ipo timu ni kiungo kante na mtoto wa sari wanamsaidia sana lampard
Nimeangalia movement za abraham ila sijashawishika had leo magoli mengi ya zari la mentali
Laurent Blanc namrate highly sanaDeveloping.View attachment 1230803
Ukituliaga vizuri...unaandika madini sana.Hata yule mount wa chelsea anatajwa kumzidi lingard walahi utacheka ni kituko jana sterling walau alikuwa anaonekana
Chelsea ina viungo wazur sana pale kati kiasi kwamba madogo wanang'ara ila wale madogo wao siku wakubwa wakizembea pale kati shida ipo timu ni kiungo kante na mtoto wa sari wanamsaidia sana lampard
Nimeangalia movement za abraham ila sijashawishika had leo magoli mengi ya zari la mentali
Lugha Kali sana hii , punguza mihemkoYoyote aliyekala na mamako ninbabako tu liverfull na chelish wote nyinyi Man utd ni baba enu. Kama hajawalala alishaoa siku nyingi. Umtulie
Hivi makocha wa bongo hawanaga muda wakuangalia analysis kama hizi wakazi apply kwa soka la bongo ,na kuachana na mpira pori huu tunaoushuhidia kwa klabu zetu hapa tz na timu ya taifa?Huyu mwehu kwa style hizi atatauua
Angalia video hii baabeki
Hivi makocha wa bongo hawanaga muda wakuangalia analysis kama hizi wakazi apply kwa soka la bongo ,na kuachana na mpira pori huu tunaoushuhidia kwa klabu zetu hapa tz na timu ya taifa?
Hahahhaa halafu kweli aisee hivi kwanini , dah wengi wajanja wajanja tuThey are not professionals wengi ni waswahili tu.
Timu zote ligi nzima zinacheza 4,4,2 ulishaona wapi ?





















They are not professionals wengi ni waswahili tu.
Timu zote ligi nzima zinacheza 4,4,2 ulishaona wapi ?
Hivi makocha wa bongo hawanaga muda wakuangalia analysis kama hizi wakazi apply kwa soka la bongo ,na kuachana na mpira pori huu tunaoushuhidia kwa klabu zetu hapa tz na timu ya taifa?



mpira pori









kwahiyo sikuwa na hoja ?
Nakukubali sana ila ulinikera kuleta mahaba ule uzi wa picha ya Ac milan
Hahahhaa halafu kweli aisee hivi kwanini , dah wengi wajanja wajanja tu
kwahiyo sikuwa na hoja ?




ngoja nikubaliane na wewe japo modern football ni technical oriented kuliko talent oriented,Ulikua na mahaba sio hoja
Ndio maana hukurudi tena