Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Waingereza wanawakuza sana wachezaji wao, mm hata madsson na wasiwasi nae sana akienda timu kubwa

Pale Arsenal tuna katoto kanaitwa willock hakana stamina wala u creativity wowote , kwa kuwa na mwingereza ,basi zinapigwa fitna kawe kanaanza badala ya ceballos au ozil ,

Yaani ni vichekesho vitupu,

Watu wanashangazwa na form za kina Abraham , mount ,wamesahau rashford alifanya zaid ya wao tena akifunga timu kubwa , Leo Waingereza wanaona aibu kumkosoa

Waingereza wenye vipaji ni wachache sana, Angalau rahim chin ya pep kasukwa , na Sancho , Ile kuna yule Declan Rice ambaye anapigiwa chapuo aende man u, sion jipya , kuna Sean longstaff eti anauzwa £50m

Wizi mtupu waingereza
Hakika mkuu hamna kitu mule
 
Hata yule mount wa chelsea anatajwa kumzidi lingard walahi utacheka ni kituko jana sterling walau alikuwa anaonekana

Chelsea ina viungo wazur sana pale kati kiasi kwamba madogo wanang'ara ila wale madogo wao siku wakubwa wakizembea pale kati shida ipo timu ni kiungo kante na mtoto wa sari wanamsaidia sana lampard

Nimeangalia movement za abraham ila sijashawishika had leo magoli mengi ya zari la mentali
Still Mount is better than Lingard
 
Hata yule mount wa chelsea anatajwa kumzidi lingard walahi utacheka ni kituko jana sterling walau alikuwa anaonekana

Chelsea ina viungo wazur sana pale kati kiasi kwamba madogo wanang'ara ila wale madogo wao siku wakubwa wakizembea pale kati shida ipo timu ni kiungo kante na mtoto wa sari wanamsaidia sana lampard

Nimeangalia movement za abraham ila sijashawishika had leo magoli mengi ya zari la mentali
Ukituliaga vizuri...unaandika madini sana.
 
Yoyote aliyekala na mamako ninbabako tu liverfull na chelish wote nyinyi Man utd ni baba enu. Kama hajawalala alishaoa siku nyingi. Umtulie
 
Back
Top Bottom