SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,444
Man u bado hawajauona umuhimu wa DoFAiseeehhh ingekuwa vizuri kama bwana Eddy angekuwa humu jf akasoma hii nondo ili aruhusu ujio wa DoF ili kunusuru watu kujinyonga na kupata vidonda vya tumbo...
Hahahahahahaaaaa
DOF ni nani mkuu?Man u bado hawajauona umuhimu wa DoF
Angalia Ocampos alivoitengeneza ile Monaco
Mwangalie monchi na sevilla
Mwangalie andrea berta na attletco madrid
mwangalie Michael Edwards na liver
Mwangalie Edu Gaspar anaivyoiunda Arsenal
Mwangalie Txit Anavyoleta watu wanaoingia kwenye falsafa ya tik taka pale city.
Kama hela man u kila dirisha anamwaga , mpaka sasa anafukuzana na man city kwa kuspend
Kuna nafasi vilabu vingi haviipi uzito ila ni ya muhimu sana sporting director
Ukiwa na kichwa hutopata tabu katika Transfers.
Yaleyale ya Massau Bwire na Ruvu ShootingMimi ningependekeza G.NEVILLE apewe timu wadau mnasemaje?
Director of footballDOF ni nani mkuu?
Waingereza hakuna vipaji ila kila siku wanapewa mikataba.hizo takataka ameendelea kuziweka yeye bila ya kuwa na sababu za msingi za kimfumo.
baadhi yao amewapa kandarasi za miaka 3
lingard = huenda akapewa mkataba mpya kwa mujibu wa taarifa
phil jones = amempa mkataba mpya
ashley young =amempa mkataba mpya
chris smalling = amempa mkataba mpya
adreas perreira = amempa mkataba mpya
juan mata = amepewa mkataba wa miaka 3
marcos rojo = bado ameendelea kuwepo
marcus rashford = umri unamruhusu kupewa kwake mkataba mpya ila mshahara wake hauendani na uwezo wake, haiingii akilini umlipe rashford paundi laki mbili then ukatae kumlipa herrera paundi laki mbili.
hao anaowataka wengi wao hawana tofauti na hao waliopo.
sean longstaff
declan rice
wilson
baada ya kufungwa na everton magoli manne msimu uliopita alisema kuna wachezaji hawatovaa tena jezi ya man utd, cha kuchekesha amewaondoa wachezaji wawili muhimu na kuwabakisha vibasha wa wajukuu wa malikia.
kama lengo lake ni kutushusha daraja basi hatofanikiwa kwa sababu big sam yupo anasubiri kibarua.
View attachment 1225857
Ole Gunner asifukuzwe kazi.teh teh teh
mkuu nimemtaja big sam kwa sababu ndiye mwanadamu asiyeshindwa kuinusuru timu isishuke daraja.
hahahhahaaaaa
tupo vibaya
Ole Gunner asifukuzwe kazi.
Abaki hapo hadi mwisho wa msimu.
Nataka nione United ikishuka daraja.
Kwenye historia ya maisha yangu nione timu ninayoishabikia ikishuka daraja.
Pia, tuone comfortability ya management na owners itakavyokuwa.
Ila mwisho wa msimu timu uvunje mikataba na 90% ya wachezaji, wabaki Pogba, Sergio, DeGea na Bissaka tu.
Ole must stay.
Mkuu yan man u anaweza hata badilisha wakaja wachezaj 7 hata 8 tena world class lkn kama huna kocha ambae anajitambua anafny nn na kwa wkt gn basi hata muwe na kikosi kizima kpy team itakosa muunganyiko na itacheza ujingaUnaloongea ni kweli Management pia ni tatizo, brand ya Man u ni kubwa sana ukilinganisha na wachezaji waliopo, united inahitaji world class players kama 4 hivi angalau iweze kushindana na Liver pamoja na city
bahatisha kila kitu lakini sio kocha. liverpool alipooandoka Rafael Benitez timu alipewa Roy Hogson akasajili watu wake mizigo hali ilikuwa tete sana.
akaondoshwa timu akapewa Kenny Dalgish huyu ndio alisajili Suarez, Andy Carrol, Downing, Charlie Adam heka heka tupu.
Akaletwa Brendan Rodgers yeye alianza vizuri lakini alipoondoka Suarez na kusajili Balotelli, Benteke hali tete ndipo akaajiliwa KLOPP.
huyu mjerumani kairudisha timu relini, kikubwa mazee kocha maana kocha ndio anaamua amuuze Lukaku ili ampandishe Rashford, Herera kaondoka free.
maamuzi pekee ni kufukuza kocha lkn baada ya kujua anakuja nani, msije leta Giggs![]()
Kabisa mkuuUkipata nafasi ya kucheka au kufurahi leo, basi itumie kisawasawa maana hujui kesho yake kipi kitakukuta![]()
Huyu james Maddison ni mchezi hatari sana. Pia bado umri wake mdogo natamani aje aichezeee chelsea aisee
Sasa huu uzi was man city...? Mm tangu utotoni sijashuhudia man it's mbovu Kama hii..Kama kweli wanamtegemea sosha wameumia
Mourinho angekuwepo right now, hii mech ya tarehe 20 msingeshinda!Mbona Avatars za Mourinho zimekuwa nyingi kipindi hichi? Kunani?
Mvuta bangi huyo