Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Na pale mbele kane anahitajika mno maana tott hawana future yoyote kwa sasa na mbeleni....wapo wapo tu
kama solskjaer ataendelea kuwepo nakuhakikishia atamsajili mmoja kati ya hao ndugu wawili, unadhani kwa sajili za ovyo kama hizo zitatutoa kwenye dimbwi la dhoruba?
never ever​
kuna muingereza mmoja tu ndiye mwenye uwezo wa kuichezea manchester united na si mwengine ni james maddison.
sijamtaja harry kane kwa sababu bei yake ni ghali sana
 
Lingard anabembelezwa asaini mkataba mpya huko
hizo takataka ameendelea kuziweka yeye bila ya kuwa na sababu za msingi za kimfumo.
baadhi yao amewapa kandarasi za miaka 3

lingard = huenda akapewa mkataba mpya kwa mujibu wa taarifa
phil jones = amempa mkataba mpya
ashley young =amempa mkataba mpya
chris smalling = amempa mkataba mpya
adreas perreira = amempa mkataba mpya
juan mata = amepewa mkataba wa miaka 3
marcos rojo = bado ameendelea kuwepo
marcus rashford = umri unamruhusu kupewa kwake mkataba mpya ila mshahara wake hauendani na uwezo wake, haiingii akilini umlipe rashford paundi laki mbili then ukatae kumlipa herrera paundi laki mbili.


hao anaowataka wengi wao hawana tofauti na hao waliopo.
sean longstaff
declan rice
wilson


baada ya kufungwa na everton magoli manne msimu uliopita alisema kuna wachezaji hawatovaa tena jezi ya man utd, cha kuchekesha amewaondoa wachezaji wawili muhimu na kuwabakisha vibasha wa wajukuu wa malikia.
kama lengo lake ni kutushusha daraja basi hatofanikiwa kwa sababu big sam yupo anasubiri kibarua.

View attachment 1225857
 
Ole akili yake ni kama vile imeganda kabisa na kwasasa hajui ni nini atafanya,michezo yote ametumia mfumo mmoja bila mafanikio na ataendelea kutumia hadi tutakaposhuka daraja.

De Gea analia timu imeshindwa hata kutengeneza nafasi za kufunga(achilia mbali kufunga) na hii ni kweli. Hii ni kwasababu hakuna #10. Kwa wakati huu mchezaji wa kumtumia pale kidogo japo nae ana maujinga ni Pogba, shida ni Ole kichwa panzi ataendelea kumtumia Pogba kule chini pamoja na Scott.

Nakumbuka wakati anapewa timu alimtumia Matic na Herrera kama wakabaji Pogba akawa anashambulia sana, sijui ameingiwa na nini tangu apewe kazi, amesahau kila kitu.

Pendekezo langu kwa sasa; kwakuwa Fred na Matic wote wamekuwa watepetevu ni vizuri Tuanzebe(naamini anaweza sana nimemtazama mechi alizopangwa hasa ya jana anagawa mipira vizuri na anajiamini) akashirikiana na Scott pale kati halafu Pogba apande juu.

Kama Martial atakuwa amepona basi acheze #9 na Rashford atokee pembeni.😂
 
Mkuu huyu ukimuangalia kwa Jicho la 3 akiwa anatembea uwanjani bila ya Mpira anakuwa hatari zaidi kuliko akiwa na Mpira! Trust me.
Siamini hizo rating ni za Lingard.
Screenshot_20191007-162949_Opera%20Mini.jpeg
Screenshot_20191007-163037_Opera%20Mini.jpeg
Screenshot_20191007-163027_Opera%20Mini.jpeg
 
"These are the same players that threw Mourinho under the bus and they will do exactly the same to Ole.”
-
“Leopards don't change their spots." - Roy Keane back in April 2019
 
Acheze 4 3 3
Halafu amtumie Dalot kwenye right wing ili tupate hata cross kidogo badala, kama Pogba hayupo uwanjani amchezeshe Pereira #10 he has something in his legs.
Kikosi anacho sema hana mbinu za kumpa ushindi.
Ole akili yake ni kama vile imeganda kabisa na kwasasa hajui ni nini atafanya,michezo yote ametumia mfumo mmoja bila mafanikio na ataendelea kutumia hadi tutakaposhuka daraja.

De Gea analia timu imeshindwa hata kutengeneza nafasi za kufunga(achilia mbali kufunga) na hii ni kweli. Hii ni kwasababu hakuna #10. Kwa wakati huu mchezaji wa kumtumia pale kidogo japo nae ana maujinga ni Pogba, shida ni Ole kichwa panzi ataendelea kumtumia Pogba kule chini pamoja na Scott.

Nakumbuka wakati anapewa timu alimtumia Matic na Herrera kama wakabaji Pogba akawa anashambulia sana, sijui ameingiwa na nini tangu apewe kazi, amesahau kila kitu.

Pendekezo langu kwa sasa; kwakuwa Fred na Matic wote wamekuwa watepetevu ni vizuri Tuanzebe(naamini anaweza sana nimemtazama mechi alizopangwa hasa ya jana anagawa mipira vizuri na anajiamini) akashirikiana na Scott pale kati halafu Pogba apande juu.

Kama Martial atakuwa amepona basi acheze #9 na Rashford atokee pembeni.
 
Sasa Arsenal mnatofauti gani na sisi? Mnachotuzidi ni kwamba nyie wachezaji wenu wamechangamka zaidi!
Wanachangamka ili wapate club za kwenda!
Hiyo sentensi ya mwisho aiseeeeh imenichekesha kweli,

Hivi pepe alitakiwa na club ngapi? Na akaamua kuja kwa wafalme wa London?

Tierney alitakiwa na club ngapi?

Achaga utani mkuu lile chama kubwa
 
Waliopata kushuhudia OGS akicheza soka naombeni mlinganishe uchezaji wake enzi hizo ilikuwa unafanana na mchezaji gani pale Manchester kwa sasa.
Jesse Lingard mtaalamu wa kuperfome akiwa hana mpira na ndio maana anaanzia bench siku hizi kama kocha wake zamani,maana wakiwa hawana mpira ni hatari sana
 
Back
Top Bottom